Habari wakuu, Nina plan ya kuanzisha mradi wa kufuga nguruwe, mbuzi na kuku wa kienyeji, Niko dodoma, nahitaji kijana mwamininfu mwenye taaluma ya mifugo at least certificate level, awe mvumilivu (not too demanding) mwamininfu ambaye atakuwa anaishi hapo hapo, gharama za chakula na matibabu ya kawaida ni juu yangu.
Waliosoma sana mimi siwataki manake wataanza kulinganisha maslahi na marupurupu ya serikalini wakt mm natumia hela zangu na sikusanyi Kodi. Anayeelewa atajua kwa nn nimeandika hvyo. Nakaribisha mawazo.
Waliosoma sana mimi siwataki manake wataanza kulinganisha maslahi na marupurupu ya serikalini wakt mm natumia hela zangu na sikusanyi Kodi. Anayeelewa atajua kwa nn nimeandika hvyo. Nakaribisha mawazo.