Mr Spider
JF-Expert Member
- Feb 28, 2020
- 1,402
- 2,507
Habari zenu wana jamvi! Napenda kuwatangazia kuwa nauza mafuta ya alizeti kwenye ujazo wa lita 20 na lita 5. Mafuta haya yamechujwa vizuri kabisa na ni salama. Bei ya mafuta kwa ujazo wa lita 20 ni 90000/= na ujazo wa lita 5 ni 26000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app