Pole ziwafikie wanafamilia, ndg, jamaa & marafiki ...
Mkuu sikuwa na ulazima wa kupitia post zote zilizopo kwenye hii mada, ila ningependa kujua yafuatayo (KAMA ITAWEZEKANA);
Huyo mdogo wako alikuwa anafanya kazi kampuni gani hapa Arusha na hiyo kampuni inapatikana maeneo yapi?
2. Ajali hiyo...
Nabii wa mwisho kutabiri kifo cha CDM alikuwa ni Wasira bahati mbaya haikuwa kama alivyotabiri. Lizaboni CDM haiwezi kufa kwa hoja za kipuuzi kama ulizoainisha hapo juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.