YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Akizunguzma na waandishi wa wahabari mahakamani Kisutu, Fatuma Karume kasema kuna msemo wa kiswahili unaosema kuwa " kinyago ulichochonga mwenyewe hakitakiwi kukusumbua"
AKAENDELEA kusema kuwa Rais MAGUFULI sisi ndio tuliomchagua na kumuweka.
Kwa hiyo anamfananisha Rais na kinyago cha kuchonga kuwa wananchi ndio waliochonga hicho kinyago?
Huyu MZANZIBARI kwenye hicho alichoongea inabidi achukuliwe hatua sio sawa.
Ushahidi huo hapo
AKAENDELEA kusema kuwa Rais MAGUFULI sisi ndio tuliomchagua na kumuweka.
Kwa hiyo anamfananisha Rais na kinyago cha kuchonga kuwa wananchi ndio waliochonga hicho kinyago?
Huyu MZANZIBARI kwenye hicho alichoongea inabidi achukuliwe hatua sio sawa.
Ushahidi huo hapo