Kati ya Njombe, Songea au Mbeya na Moro, ipi ina fursa nzuri nzuri zaidi ili nihamie

Mbeya is the best of all. Ardhi yenye rutubà na hata kibiashara. Ni mkoa pekee nchini wenye karibu mazao yote ya chakula nchini
 
naona umeamua kutii ile amri ya mheshimiwa magufuli mkuu ya kuondoka Dar kama huna mishe ya kueleweka!
 
Wakuu zangu mlionishauri Moro

Vipi ni wilaya gani ama kata gani hasa zenye fursa hizo?

Zisizo na ugomvi wa wafugaji na wakulima.
 
naona umeamua kutii ile amri ya mheshimiwa magufuli mkuu ya kuondoka Dar kama huna mishe ya kueleweka!


Hah hah hah Mkuu sijawahi fikilia kelele za wanasiasa.

Nimefikilia zaidi mbele yangu.
 
Karibu sana Moro....Binafsi nilihamishia makazi yangu hapa toka D'salaam 2010....na sijutii uamuzi wangu.Moro bado ina fursa kibao za kufanya kwa kukupatia kipato kwa kilimo na biashara.Moro ni centre/transit ya Dsm & Dom hivyo ni karibu kwa majiji yote hayo kuyafikia. Natabiria Moro ktk miaka 10 ijayo haitashikika hasa pale reli ya mwendo kasi itakapofika Moro 2019.Lkn kuwa makini na matapeli wa ardhi kwa ajili ya mashamba na bei za plots zimepanda almost double.Tatizo lingine naliona ni wenyeji/wazawa walio Katikati ya municipal hawana mwamko wa kuwachia/kuingia ubia (kuwauzia) na wenye uwezo ili wandeleze mji kwa malengo ya kisasa kama kujenga mijengo ya maana na kuondoa nyumba za udongo. Vinginevyo naifagilia Moro kama sehemu nzuri ya kuishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu sana Moro....Binafsi nilihamishia makazi yangu hapa toka D'salaam 2010....na sijutii uamuzi wangu.Moro bado ina fursa kibao za kufanya kwa kukupatia kipato kwa kilimo na biashara.Moro ni centre/transit ya Dsm & Dom hivyo ni karibu kwa majiji yote hayo kuyafikia. Natabiria Moro ktk miaka 10 ijayo haitashikika hasa pale reli ya mwendo kasi itakapofika Moro 2019.Lkn kuwa makini na matapeli wa ardhi kwa ajili ya mashamba na bei za plots zimepanda almost double.Tatizo lingine naliona ni wenyeji/wazawa walio Katikati ya municipal hawana mwamko wa kuwachia/kuingia ubia (kuwauzia) na wenye uwezo ili wandeleze mji kwa malengo ya kisasa kama kujenga mijengo ya maana na kuondoa nyumba za udongo. Vinginevyo naifagilia Moro kama sehemu nzuri ya kuishi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Asante Mkuu hakika umenipa hamasa.
 
mkuu kma upo tayari njoo kwanza ufanye research huku niliko mimi panaitwa Mgeta ukitoka tu ifakara kupo fresh kilimo kwa sana pamoja na fun uliyonayo maisha yakawaida tu chakula bwelele,mboga yetu kubwa huku ni fish tu,usafiri wa tren au gari ni chaguo lako hutojuta huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbeya town patakufaa sana,hasa kwa fani yako,huwezi amini mpaka leo simu za iphone na samsung zote hazina mafundi mbeya,wanategemea dsm.

Upande wa kilimo,
Tukuyu utalima viazi
Mbozi utalima mahindi
Mbarali utalima mpunga na vitunguu
Ileje utalima ufuta
Kyela utalima cocoa.

Lakini pia unaweza kuamua kuishi tunduma border nako kuna mishemishe za kutosha.
 
Mkuu kitendo cha kutaja miji minne nazan tayari nimeshachagua.


Ila nahitaji kujua undani wake ili nifanye hitimisho.


We we binafsi unanishauri mji UPI ?
Wamekuambia ukitaka kumla bata wacha kumchunguza.
Kwamawazo yako mazuri na haamini umejipanga kwa ushauri wangu njoo mbeya bila shaka hata wilaya zake zinajitosheleza mfano Rungwe kwa kilimo cha ndizi na chai kipo juu pia starehe ni chache lkn ukipenda anasa utarudi na kaptura kwa huku watoto wakinyakyusa ukivaa suti wanajua unaela wakati karume wanauzia viatu.mengine utajionea lkn njoo mbeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheki na Kibiti,Rufiji,Mkuranga kuna fursa nyingi za kilimo cha umwagiliaji si unajua mabadiliko ya tabia nchi mvua sasa ni za mashaka sana!
 
Back
Top Bottom