Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
nisamehe jamani
nisamehe jamani
Woyoooooooo tivuuu kwenye ubora wako shusha mamboKwanini usipate?
Hakuna kikwazo kwa kweli,ukuje sasa SteveKwanini usipate?
Pole chalii yang msamehe bureTusichokonoane umesikia wewe fala! Kama wewe ni mgeni na mimi funga bakuli na sio unaanza kuleta usenge wako hapa. nilishasema hapa toka awali sitakuja kuuza simulizi yangu hata moja! Na nilishasema nitaiandika na kuituma hapa yote.
Infact, simulizi zipo nyingi humu si lazima ukaisoma ya mzushi, sawa bob?
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Mwache bwana chalii yanguAcha kumbembeleza huyu jamaa bangi tu!
Katafute ninapotoa. Ukipata leta hapa yote. Alafu mtaarifu na mtunzi kwamba namuibia. Sawa?