Recent content by mdocho

  1. M

    LAPF, PSPF, PPF, GEPF, NSSF ipi ni bora katika kuwa mwanachama

    Habari za jioni wanaJF, Naombeni msaada nataka kujua upi ni mfuko bora kati ya NSSF, PPF, PSPF na LAPF kwa anayejua. Natanguliza shukrani zangu za dhati!
  2. M

    Waandamana uchi Uganda

    Wee weka maadili yanawahusu wasiotumia Jr !!!
  3. M

    Waandamana uchi Uganda

    PC mheshimiwa mleta hii thread!!"
  4. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Safari zake ni home job,but sometimes yakwenda nayo mikoani kwa barabara ya vumbi xana na makolongo mkuu@mshana jr
  5. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mkuu ni gali ipi inweza kumfaa mtu wa hali ya chidi kuanzia bei,uimara pamoja na matumizi ya mafuta!!!
  6. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Vip unaweza kuniambia ubora na mapungufu ya Toyota-wish,bei zake zinaendaje show room na kuagiza Natanguliza shukulani zangu kwako mshana jr
  7. M

    Natafuta mwanamume

    Natafuta mke wa kuoa awe mkiristo kati ya umri wa miaka 26 na 27, awe mweusi au Maji ya kunde ciyo mbaya bali aciwe anajichubua,pia awe tayali kwenda kupimavkabla ya kuanziaha mahuaiano,Nipo seriously ambaye yupo tayali ani PM tayali kwa mazungumuzo zaidi!
  8. M

    Huyu msichana ananiacha njia panda

    Natafuta mke wa kuoa,masharti ni haya ,kwanza awe mkieisto umri wake kati ya miaka 26 hadi 27,awe mweusi au Maji yakunde ciyo mbaya bali asiwe anajichubua,pia awe tayali kwenda kupima kabla ya kuanza mahusiano,nipo seriously ambaye yupo tayali ni PM kwa mazungumuzo zaidi!!!
  9. M

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Siku hizi hakuna hata tasisi za dini zimegeuka kuwa siasa hakuna kitu kipya hapo mkuu@Rawaseni
  10. M

    Sijui mtego huu?

    Kama ni kweli huo ni mtihani ,wewe huyo mchumba wako anakutega akuone msimamo wako upoje juu yake na ushingae ukienda huko utakuta wapo wote na mchumba wako na utakuwa umessha onesha udhaifu wa halii ya juu sana!!!!!!
  11. M

    Sijui mtego huu?

    Acha story zako bwana!!!
  12. M

    Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

    Wewe@manambefu unamtizamo potofu xana ciyo kila mtu anayeenda chuo anatakiwa kusoma educations,wito wa mtu na maono ya mtu ni kitu kinachomsukuma mtu kusoma kozi anayohitaji masuala ya kazi ni saula jingine kozi kunawatu wanasoma educations but wanahangaika kutaduta kazi nyingine tofauti na fani...
  13. M

    Nahitaji maombi yenu ndugu zangu/ wanaJF

    Pole xana mungu akutangulie!!!!!!!
  14. M

    Natafuta mke

    Nanafanya kazi na shilika moja private hapa mjini chamsingi nataka mpenzi nikaye mpata awe tayali kwenda kupima afya zetu!!!
Back
Top Bottom