Sijui mtego huu?

Sijui mtego huu?

Mh.. Kama ni kweli na kiapo ulichochukua mbele ya mchumba wako kweli huo ni mtihani mzito. Cheza karata zako vizuri...

Mkuu hapo niko njia panda ndio maana nikaamua niilete hapa ili nijiongeza
 
Mvua zimeondoa hadi uwezo wa kufanya maamuzi!what a question!
 
Mkuu inakuwaje watu wengine mnakuwa na bahati namna hiyo na wengine hatuna? mwambie umtafutie mimi, ww usisaliti mtu wako!

Duh mkuu unamoyo wa chuma hata hofu ya viapo vyako imeyeyuka mimi naheshimu mno...
Kwa jinsi ilivyo siwezi mpelekea mzaa kama huu labda unikumbushe wiki kazaa mbele baada ya huu mtiti kupoa
 
Ulimwambia mchumba wako hutamcheat mbele yake leo anakujia na issue ya kutaka kukutana faragha fikiri mara mbili kaka......mshirikishe mchumba wako na utafute namna ya kutengeneza gari hata kwa mkopo
 
mdocho hiyo sio story mkuu kama vp nikopee kiasi cha pesa afu twende eneo la tukio niko tayari hata kuweka dhamana.
 
Last edited by a moderator:
Ulimwambia mchumba wako hutamcheat mbele yake leo anakujia na issue ya kutaka kukutana faragha fikiri mara mbili kaka......mshirikishe mchumba wako na utafute namna ya kutengeneza gari hata kwa mkopo

Na ndio kinachoniuma mbaya zaidi ni yule yule ambae alisimama kama shaidi hapo ndio naona kama kuna kamtego flani....dawa ni kutengeneza fumanizi tu,lakini naogopa picha hizi
 
Ukiamini huu upuuzi basi Brussels itahamia bongo. .
 
Na ndio kinachoniuma mbaya zaidi ni yule yule ambae alisimama kama shaidi hapo ndio naona kama kuna kamtego flani....dawa ni kutengeneza fumanizi tu,lakini naogopa picha hizi

unaogopa nini kama unajiamini au unatafuta neno la shetani alikupitia wakati unashauriwa mapema......kama vipi nenda na mchumba wako shida ipo wapi mkuu
 
unaogopa nini kama unajiamini au unatafuta neno la shetani alikupitia wakati unashauriwa mapema......kama vipi nenda na mchumba wako shida ipo wapi mkuu

Kinachoniogopesha ni fumanizi nitakalolitengeneza nataka nimtafute mtu wa tatu ili nikienda na mchumba pale aamini,maana maelezo nitakayompa atataka ku prove
 
Kama ni kweli huo ni mtihani ,wewe huyo mchumba wako anakutega akuone msimamo wako upoje juu yake na ushingae ukienda huko utakuta wapo wote na mchumba wako na utakuwa umessha onesha udhaifu wa halii ya juu sana!!!!!!
 
matamba1

Hela ni ngumu sana bt ndo wakati wa kukomaa kiume saivi....Iv kweli umsaliti mchumba ako kwa rafiki yake??Huo siyo utu kabisa...Jikaze repair gar ya watu na kama hujaridhika na mchumba ako wewe mwambie ukweli kuliko kuja kuumizana kwa isaliti..
Nawachukia sana wasaliti yaan..
.Vaa mkanda jifunge kiume wewe cheap is expensive......
 
Last edited by a moderator:
Hii story wala haijanivutia.
ingekuwa enzi zile nikiwa mwanafunzi labda? Kwa nini hungeipeleka face book kwa wanafunzi?
 
Mmh na mvua hizi mtu ukimgusia mkopo tu anakupa maelezo ya kusaidia ndugu zake waliokumbwa na mafuriko

wewe yaelekea wamtaka sasa nenda ukutane na huyo mchumba wako ufumaniwe.....!
 
Back
Top Bottom