Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

Najuta Kusoma hadi chuo Kikuu

Namshukuru Mungu kwa jinsi alivyonisaidia kuweza kujua mambo mengi ya maisha.Sasa wewe na wengine mnaokata tamaa kwa sababu eti mmesoma na hampati kazi kwa wakati mnaotaka nyie,mlishawahi kuwafikiria wale ambao waliishia darasa la saba au form4 wanaishi je?
Kabla hujalalamika je ulishawahi kujiuliza ni wapi walikuambia ukisoma mpaka chuo basi wewe ni uhakika utapata kazi?Ni kweli Jua linachomoza mashariki na kuzama magharibi hii ni universal law,je wewe kupata kazi kuna sehemu ulihakikishiwa?
Sasa kwa nini ukate tamaa kwa vitu ambavyo huna control navyo,pia kusoma chuo si issue kwani siku hizi vyuo ni vingi na quality yake siwezi sema.Sometimes huwa nawambia watu utajua kama course uliyosoma au chuo ulichosoma ni kizuri ukimaliza chuo.Vyuo ni vingi so mtu akiniambia amesoma mpaka chuo mimi hainifanyi nitetemeke kwamba anaweza sana au anaufahamu mzuri,it all depend on an individual effort.
Mengine hatuwezi sema ni aibu soma kwa makini magraduate wanavyo omba msaada hapa kwa mambo ambayo wanaweza yamaliza wenyewe.Seriously watu wengi hawajui kutumia internet,wanachojua ni kupost kuomba msaada na wakati wanaweza wakapata hizo information online.Sasa type hii ya generation inalalamika sana lakini haijitumi kabisa.
Fuatilia misaada na maswali yanayoulizwa then jiulize je hili mtu hawezi lipata online?
Tunarudi kulekule kwa kuandikiwa barua ya kuomba kazi na kuitumia pasipo kujua hata maneno yaliyotumiwa yanamanisha nini.
Kuna CV za watu ziko kimya namanisha unasoma CV ya mtu hata haina ushawishi wa kumwajiri huyo mtu imepoa,hapa unaweza usinielewe kama .. wako ni ....Ila kuna CV zimepoa,ziko kimya hazina mvuto hata wa kutaka uonane na huyo mtu na hizi ni nyingi.
Kwa sababu tunasoma ili tupunguze ujinga naamini kwenda shule siyo uhakika wa kuajiriwa so take it easy.Tumia elimu uliyopata kukuwezesha kupambana na maisha.
NB: "Ëducation is what remain after you have forgotten what you learnt in school" and
"There is no solution in complaining"
 
School is a killer of True Knowledge - JADEN SMITH

ebu jiulize usingepata nafasi ya kusoma Leo ungekuwa wapi?
Hivi Leo Messiah ameishia darasa la ngapi? CR7 je?kwa nn vijana hawa ni matajari sana..walijitambua na kuanleash talent zao
Hivi hadi hujajua kama kuna kitu kikingine unachoweza fanya ukapata kipato ili uendeshe maisha yako? JITAMBUE
 
Namshukuru Mungu kwa jinsi alivyonisaidia kuweza kujua mambo mengi ya maisha.Sasa wewe na wengine mnaokata tamaa kwa sababu eti mmesoma na hampati kazi kwa wakati mnaotaka nyie,mlishawahi kuwafikiria wale ambao waliishia darasa la saba au form4 wanaishi je?
Kabla hujalalamika je ulishawahi kujiuliza ni wapi walikuambia ukisoma mpaka chuo basi wewe ni uhakika utapata kazi?Ni kweli Jua linachomoza mashariki na kuzama magharibi hii ni universal law,je wewe kupata kazi kuna sehemu ulihakikishiwa?
Sasa kwa nini ukate tamaa kwa vitu ambavyo huna control navyo,pia kusoma chuo si issue kwani siku hizi vyuo ni vingi na quality yake siwezi sema.Sometimes huwa nawambia watu utajua kama course uliyosoma au chuo ulichosoma ni kizuri ukimaliza chuo.Vyuo ni vingi so mtu akiniambia amesoma mpaka chuo mimi hainifanyi nitetemeke kwamba anaweza sana au anaufahamu mzuri,it all depend on an individual effort.
Mengine hatuwezi sema ni aibu soma kwa makini magraduate wanavyo omba msaada hapa kwa mambo ambayo wanaweza yamaliza wenyewe.Seriously watu wengi hawajui kutumia internet,wanachojua ni kupost kuomba msaada na wakati wanaweza wakapata hizo information online.Sasa type hii ya generation inalalamika sana lakini haijitumi kabisa.
Fuatilia misaada na maswali yanayoulizwa then jiulize je hili mtu hawezi lipata online?
Tunarudi kulekule kwa kuandikiwa barua ya kuomba kazi na kuitumia pasipo kujua hata maneno yaliyotumiwa yanamanisha nini.
Kuna CV za watu ziko kimya namanisha unasoma CV ya mtu hata haina ushawishi wa kumwajiri huyo mtu imepoa,hapa unaweza usinielewe kama .. wako ni ....Ila kuna CV zimepoa,ziko kimya hazina mvuto hata wa kutaka uonane na huyo mtu na hizi ni nyingi.
Kwa sababu tunasoma ili tupunguze ujinga naamini kwenda shule siyo uhakika wa kuajiriwa so take it easy.Tumia elimu uliyopata kukuwezesha kupambana na maisha.
NB: "Ëducation is what remain after you have forgotten what you learnt in school" and
"There is no solution in complaining"

Tatizo la graduate wetu wengi masista duu na mabrazameni wamejifunza hizi tabia huko chuo kwa maisha ya show off nyiiiiingii bila kuwa na plan za maisha baada ya kuhitimu

Wengi wao hawana mipango ya muda mfupi wala mrefu wanakuambia kila kitu nitapanga nikianza kazi hahahahah

Waoga wa maisha hata kazi za kubeba zege hawataki

Ndo kama huyu kwa kifupi naona kama anakufuru hapa, yaani MUNGU kampigania weeee Leo anajuta hahahahh.

Kijana amka tafuta shughuli ya kufanya sio lazima uajiriwe. kama vipi njoo Bumbuli huku uchukue pilipili hoho za kutosha ukauze mikoani.Huku vitu bwelele halafu cheap.
 
Ase mr pole,tafuta plans zingine mambo ya kuajiriwa ni kama baati nasibu,tafuta fursa nyingine
 
pambana mr...shemej yangu alimaliza chuo nikiwa form2 saivi nipo university ndio kapata kazi mwezi huu...hakuwahi kusema hatafut kaz ila alikua anatafuta pia na kujichanganya kuuza mikaa...viazi....pumba...na sio kwamba alikua na mtaji.mkubwa..alikua akiuza viazi sawa sawa na mtaji wa garama ya hii simu yako ya android uliyotumia kuingilia jf..........kua na akili mr.....maisha ni kujarbu na kupambana.chuo ni extra tu..
 
Wewe@manambefu unamtizamo potofu xana ciyo kila mtu anayeenda chuo anatakiwa kusoma educations,wito wa mtu na maono ya mtu ni kitu kinachomsukuma mtu kusoma kozi anayohitaji masuala ya kazi ni saula jingine kozi kunawatu wanasoma educations but wanahangaika kutaduta kazi nyingine tofauti na fani zao !
 
pole sana...iko siku na wewe Mungu atakuona. Usichoke kuomba kwa imani yako.
 
Hi mtoa mada,
Hope this post finds you well.
Kindly find the attachment, posted as received, dont quote me wrong that Sukari Yenu kasema.
I'm also struggling, lucky me and unlike you; am not satisfied with what I do simply because it doesnt develop my career.
Taking in mind there's no room to do what I love, then I love what I do. That's all.
With regards,
Sukari Yenu.
 

Attachments

  • 1431274393801.jpg
    1431274393801.jpg
    18.6 KB · Views: 162
Unajuta kufika chuo???, huku wenzako tukifurahia kwa elimu tuliyoipata chuo kuwa imetupa mwanga wa maisha. Kweli binadamu hatufanani na tungekuwa na akili km za mtoa mada tungekuwa mazuzu.
 
Habari zenu ndugu,

Ni kipindi kirefu nimekua nikiangaika kutafuta ajira pasipo mafanikio.

Nimefanya interview zakutosha lakini nimekua nikiambulia ahadi tu za kupigiwa simu toka kwa ma HR ambazo hazina ukweli wowote.

Kitu kikubwa kinachotukosesha ajira sisi vijana ni kipengere cha experience ambapo waajiri wengi wanahitaji uzoefu usiopungua miaka mitatu na kuendelea.

Swali ni je nawezaje kupata huo uzoefu wakati ofisi nyingi hazitaki kuniajiri na hata ninapoomba kujitolea naambiwa nafasi hakuna ?

Kwa kifupi ndugu zangu nimekata tamaa kabisa kama siku moja nitakuja ajiriwa na najutia miaka mitatu niliyoipoteza chuoni pamoja na ada niliyoitumia kwani laiti ningejua ni bora ile ada ningeitumia kwenye kujiajiri kuliko kupoteza pesa na muda wangu.

Yani hapa nasubiri miujiza ya mwenyezi Mungu tu kwakweli.

Eeeh Mungu tuangalie waja wako,tuko kwenye kipindi kigumu sana.

sema kweli kama huwa unafaulu interview sehemu yoyote!! maana siku hizi hiyo habari ya uzoefu iliisha futwa labda kama unataka kuwa Manager au Director that for sure you must have uzoefu!!! other wise jipange ukiitwa kwenye interview ufaulu then mambo mengine yata fuata!
 
dhima ya kusoma ni kupata maarifa ili upambane na maisha na kuibua fursa sio kutegemea kuajiriwa tu,
 
Mungu bado anaishi na hakukuumba kwa bahati mbaya, Umekata taama lakini inuka tena kwa moyo mwingne anza upya. Katika BIBLIA TAKATIFU neno USIOGOPE limeandikwa mara 365, yaani kila siku MUNGU anatuambia tusiogope hivyo nami nakuambia usiogope. Wengi wanapita katika magumu lakini hawakati tamaa kwasababu wanajua wapo kwenye vita wakikata tamaa watakufa(future). Embu nitafute kwa hii namba 0764626967. Nitafute kuanzia saa 3:30 usiku rafiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom