mshike sana elimu, usimuache aende zake kaka...mwanamke asieweza kutambua hali yako na kuthamini kidogo ulichonacho atakupasua kichwa,
unajua nn fanya kama hukuwahi kukutana nae endelea na maisha mengine better dayz ov urs r soon to come
Ndugu wataalamu wa afya, husika na kichwa tajwa hapo juu.
Kutokana na zuio la Serikali juu ya uuzaji na utumiaji wa pombe aina ya viroba hapa nchini, vijana wengi wa Kitanzania sasa wamejikita na matumizi ya ugoro.
Je, nini athari na faida zake kwa ujumla?
nilikua nabembeleza asiniache baada ya kunotice changes kubwa kutoka kwake,
ME;baby naomba ukumbuke tulikotoka...ata haya mafanikio machache niliopata umechengia kwa kiasi kikubwa sana kwakweli.(hapo tuna miaka 6 kwnye relation and i was her first man).
HER;Baki nayo tu hayo mafanikio ata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.