You!!!! total wrong. accepting a guy na kuvumilia sababu anaweza kufanikiwa ni ubinafsi, na akichelewa kufanikiwa utamwacha, mvumilie mtu siku zote sababu ya Upendo
Mkono mtupu haulambwi, na mwenye nacho anaongezewa
Hehehe umemaliza each and everything
Tatizo na nyie mkipata mnakengeuka sana..mtu anakuvumilia ukishapata uhakika wa maisha unamwona hafai tena.
Yes yote haya hutokea tatizo mtu anakuona sio mvumilivu unahikuta unavumilia had unaota sugu Kuna kuvumilia kwingine huna jinsi
Hahaa..eti hadi unaota sugu.
Sikuzote naamini kisicho rizki hakiliki,kama aliandikiwa muewote mle shida nyote na raha ale na mwengine utasaga nae lami wakati wa kula atakuja mwenzio ale,kuna binadamu wengine wanapita kwenye maisha yako kama fundisho lakini sio wakaaji.
unaweza ukamvumilia mume mwisho wa siku anakuwacha nakutafuta mwengine kwa sababu isiyo na msingi..
Ungebadilisha channel kwani ni lazima kuangalia mahojiano hayo?
Nadhani hii Mada inawakhusu wale wanawake wanao tegemea utajiri wa mwanamme ndio ataumia na kumuona X wake kwenye TV,lakini kama unafanya kazi na umeridhika na anachokupa Mungu nini kuonekana kwenye TV hata aonekane mwezini sawa...Nimekupenda bure mummie
Achana na wapenda pesa haoo If you are happily in love and it is mutual u need nothing more
Stay in love n make your own damn money