Wanatumia udhaifu ule ule wa kufikiri wa waAfrica kunyakua nyakua mapesa , wame overate price kwa sababu kuzidiana kuonesha ufahari kumbe wanatuumiza kwa kutumia psychology
Niliachaga kuangalia mpira baada ya kukithiri kwa overrating za kijinga wanazopata CR na Messi, na alivyoondoka Ronadinho uwanjani, sijaona mchezaji dimbani, umejaa ujinga tu.
Sema utawatambua vilaza kirahisi, kwa sababu inahitaji average thinking kutambua ujumbe uliohudhurisha, ambae hajaelewa aidha hajasoma content au kilaza
Majibizano ya risasi yameua watu wote 13 pamoja na mtuhumiwa aliowapeleka mafichoni lakini hakuna polisi hata mmoja aliopata shida yoyote ? Hata shati kuchanika?
Jeshi letu liko vizuri sana aisee.
Shaban Robert Namba 5 then nikahamia complex....,nilivyorudi advance nikarudi tena SR5. Daah nazikumbuka nyuji.
Alivyokuja Mwasha tuliishi vizuri sana aisee. No much kande , nyali most of the time. Nilipenda sana ile spirit ya kusoma ya Mzumbe.
Hizi ni habari za kidaku sana.
Wengi wame comment kikuda sana. Ni mihemko kwenda mbele.
Leteni ripoti ya CAG. Sio kukusanyakusanya habari za mitaani na kutuletea. Namna ilivyo hii habari mtu yoyote anaweza kuandika.
Haina weledi. Lakini ndo products za TSJ na DSJ....the failures.
1) GPA system ilikuwa ni mkuki kwa haya majipu. Ilikuwa ni suala la kuboresha tu. Maana ilibana ile corrupt committee ya kubariki matokeo. Ambayo inahongeka kirahisi sana .GPA haitoi mwanya wa kuchakachua matokeo kama ilivyo division.
2) Ushahidi wa kubebwa kwa wanafunzi kwa baadhi ya shule...
Unajua MwenyeziMungu yuko fair siku zote, just play your part, kumbuka unapochepuka unakwaza watu wengine. Huenda unamkwaza mume au mke wa mtu, au mzazi au any family member.
Unaweza sambaza magonjwa .
Unatumia haki ya familia yako kufanyia mambo yanayokera jamii kwa ujumla.
Wewe usiangalie...
Hiyo sio justification ya kuchepuka.
Naamini kama hujaoa Malaya , unajihifadhi, unaonesha upendo na majukumu unakamilisha , mke lazima atulie, mara nyingi kama sio zote sisi wanaume ndo chanzo.
Mimi sina mchepuko. Na naomba Mungu anistiri nisiwe na mchepuko, labda kuongeza mwingine ikihitajika.
Mi naamini ukizini lazima utaziniwa tu, kama sio mkeo itakuwa Dada yako au mama yako. Most likely mkeo.
Kama unakubali kugongewa na wewe gonga period.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.