PM meHabari zenu wana-JF mimi binti wa miaka 24 natafuta kazi za usafi,Kuuza dukani na nyingine yoyote halali.
Kama ukinihitaji kufanya kazi yako Tafadhali Ni Pm
Hakiki vizuri setting zakoHapana mbona niko open
Yeah za JF,sawa mkuu
ni setting za app?
Njoo PMni sehemu gani? maana sielewi
Mfundishe kubetPolee aiseee. Tangu april.
Mkuu mbona unanidhalilisha. Ushanikuta nabet.Mfundishe kubet
Habari zenu wana-JF mimi binti wa miaka 24 natafuta kazi za usafi,Kuuza dukani na nyingine yoyote halali.
Kama ukinihitaji kufanya kazi yako Tafadhali Ni Pm
Hujaelewa maana ya Poda Mkuu?poda gani