Nahitaji mtu mwenye uelewa wa biashara ya kukopesha fedha (micro credit).
Je leseni naipata wapi baada ya kufungua kampuni?
Minimum capital ni shilingi ngapi?
Naweza pata mtu wa kunifanikishia kupata leseni?
Mi nadhani biznes plan yenyewe hujui ni nini? Biznes plan haikufanyi wewe usifel, vile vile in biznes hua tuna assume physical factors remains constant hii labda ndo sababu ya watu wengi kufeli but biznes plan ina faida yake. Ndege zetu zileee
Nani ananifahamu?
Kuna muda nikikaa nawaza sana, hivi ni lazima kua na mpenzi? Wanaume mbona mnapenda sana kunyenyekewa nyie? Unakuta lijitu limekukosea lenyewe na unalikuta na mdada mwingine lakini bado linataka kua juu. Wanaume fikeni muda mtambue thamani yetu, kwanini kila muda mnatutenda? Inafikia muda mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.