Unaanza kujifunza tayari umerukia katika Swing/Database? Wrong way!
Jifunze kwanza misingi ya Java halafu advance slowly and finally go to UI. Nina wasiwasi hata hizo code za UI umetengeneza na RAD!
Jifunze uielewe Java kwanza kabla ya kufanya project. Lerning by doing is good only if you learn first and do it next!
Kwenye Kihariri aka Editor
No way! IOS inategemea ObjectiveC while Android inategemea Java kama native language. Hapo the best way ni kujua Java na ObjC kisha kutengeneza library ya operations zako common in C. Unaweza itumia lib hiyo ktk IOS au ktk Android (NDK)/JNINataka kuanza kujifunza mobile app development but nataka language moja ambayo itanifanya niweze kufanya development ya app za platform zote hasa iOS na Android.
See above!Nina knowledge ya Java, Object oriented PHP, MySQL na C++ kidogo.
You will need to know how to make API to Be middle man.I need to develop app ambazo zina interact na database Hasa MySQL. Nipe muongozo naanzaje
Nataka kuanza kujifunza mobile app development but nataka language moja ambayo itanifanya niweze kufanya development ya app za platform zote hasa iOS na Android.
Nina knowledge ya Java, Object oriented PHP, MySQL na C++ kidogo.
I need to develop app ambazo zina interact na database Hasa MySQL. Nipe muongozo naanzaje
Kuna Xamarin (Mobile App Development & App Creation Software - Xamarin) ambayo inakuruhusu kufanya native cross platform development ya Android, iOS (iPhone), Mac na Windows. Inatumia C# ya Microsoft ila bahati mbaya beyond the basics inabidi uilipie tena kwa mwezi.
Mkuu nijashida nawe.. je naweza kuja pm?Hapana! Kuna language sic PHP zinakufundisha bad practices. Scan thread kuna swali kama hilo nimelijibu!
Waweza tumia java studiomimi nimesoma C++ swali langu je unapodevelop apps unatumia compiler kama turbo na borland au kuna tools zingine?
C++ ningekushauri utumie Maliki(nina softcopy yake) ila hizo java ngoja wataalamu wajeMimi ni beginner kabisaaaa, nineanza kujifunza programming language naona saiv kidogo napata mwanga kuna tutorial nimeichukua toka youtube inaniongoza vyema.
Nimeanza na language ya javascript, nachomba mkuu/wakuu msaada wa kujua ji kitabu gani hasa kitanisaidia kama beginner kuweza ku master hii language vzuri, ili baadae niamie html na css.
Kwa sasa natumia tutorial za youtube, google na material ya w3 school.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huko c++ nimeshauliwa ni kwa ambaye yuko nondo na haya masuala ila kwa sisi beginner nzuri ni hizo js, html, css na angalau python.C++ ningekushauri utumie Maliki(nina softcopy yake) ila hizo java ngoja wataalamu waje
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe link ya hiyo videoMkuu huko c++ nimeshauliwa ni kwa ambaye yuko nondo na haya masuala ila kwa sisi beginner nzuri ni hizo js, html, css na angalau python.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakutumia mkuu.Nipe link ya hiyo video
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Nipe link ya hiyo video
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk