Recent content by Mchumi wa kati

  1. M

    Nahitaji samaki aina ya sato wa kununua wanaofugwa

    Kuna jamaa anao, sema bei yako kwa kilo
  2. M

    Nafasi ya mkurugenzi TIC na Maliasili kuondolewa kwenye Ajira Portal

    Kufuatia maelekezo wa Waziri wa Fedha, nafasi za wakurugenzi wakuu wa taasisi hizo mbili zilitangazwa kwenye Ajira Portal ya Utumishi. Ghafla nafasi hizo ziliondolewa na hata leo hii ukizitafuta kupata rejea zake hazipo. Kama kuna anaejua kwanini zimeondolewa atufahamishe
  3. M

    Tamisemi ongezeni Project Management Professional (PMP) kwenye Ajira Portal

    Ushauri mzuri ila usifunge wigo kwenye PMP maana zipo zaidi ya PMP na ni accredited kimataifa pia
  4. M

    Nahitaji Mwanaume

    Ulishapata?
  5. M

    Ndugu zangu bila kujali itikadi za vyama ni Mtanzania yupi wa kutuletea maendeleo kama Taifa 2025?

    Natamani Mtaka na kama anasoma hapa asikie, awe na moyo mgumu, 2025 aombe ridhaa ya kuingia kwenye siasa za maendeleo na kutengeneza sera, agombee ubunge kitu ambacho kitampima kama kiongozi anaeweza kupewa dhamana kubwa zaidi ya urais huko mbele. Naamini anaweza kuleta matumaini akijengwa...
  6. M

    Soko la sato wa kufuga

    Wajasiriamali wa chakula, tufahamishane soko la bidhaa hii ya chakula, yaani sato wakufuga kwenye mabwawa, kwa jiji la Dar lipo wapi? Uzito ni samaki wa 3 hadi 4 kilo, bei ya jumla ya bidhaa kuanzia kilo 50 ikifatwa shamba, Kigamboni ni TZS 7500. Karibuni
  7. M

    Naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya Mashuka kutoka Uganda

    Habari wanabodi, Nimekuwa nikisikia biashara ya mashuka kutoka nchi jirani ya Uganda. Kuna mwenye kujua upatikanaji wake, yaani duka, mtaa, bei n.k?
  8. M

    Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

    Kwanini twende mbali hivyo, wakati hapo Zanzibar yanapatikana kwa unafuu?
  9. M

    Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

    SI Unit ya kipimo cha mafuta USA ni /ppg wakati TZ ni /ppl
  10. M

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Hii yapatikana duka gani kwa jiji la Dar
  11. M

    Hivi mbunge wa Segerea kazi yake nini?

    1. Barabara ya tabata - maji chumvi only 4km ambazo kwa ushawishi wa kibunge bajeti ingepatikana na angepata ridhaa ya wananchi wa eneo hilo. Ana shida ya kuongea ma watu kama vile anawaogopa 2. Machinjio ya Vingunguti - mradi wa pesa nyingi kwa jiji lakini anashindwa kuibana serikali...
  12. M

    Rais Samia majukumu uliyompa Prof. Kabudi ni sahihi ila kwenye timu ya mikataba mwongeze Prof. Luoga na Mwambe

    Nakupongeza Mh. Rais kwa kulipa umuhimu swala la mikataba. Mikataba kwa nchi hii iliturudisha nyuma hivyo ni muda sahihi kuirejea hata kama tulishakosea hapo mwanzo. Waswahili husema kutenda kosa si kosa ila kurudia kosa, ni sahihi kabisa kujirekebisha kwa maslahi mapana ya nchi hii. Mh. Rais...
  13. M

    Serikali kwanini mnalishusha hadhi sana jiji la Mwanza?

    Nadhani alimaanisha taa za kuangaza majira ya giza ili mji uwe na nuru usiku
Back
Top Bottom