Hbari wadau naomba kuuliza hvi ni sifa zpi za kujiunga na chuo cha ualimu veta Kilichopo Morogoro mwenye uzoefu ni mwz gani wakutuma maombi na kuanza masomo.
Naomba kuuliza je kujiunga na mafunzo ya VETA mwaka 2017/2018 kwenye chuo cha serikali Veta Iringa ni lini na Je ni muda gani wa kuomba kujiunga na chuo cha ualimu wa veta MOROGORO kwa mwaka huu .Mwenye taarifa tafadhari naomba msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani wee unadhani ualimu ni kuokotaokota walimu ni professional ambayo inahitaji weledi na maarifa ya kiualimu.Tuache dharau eti mtu wa Engeneering science afundishe wapi na wapi.
Habari wana jf,
Naona deadline ya kuppeal mkopo imekaribia, sasa je kuna uwezekano wa kupata mikopo ya masomo maana maisha ya chuo bila mkopo ni kazi hasa tuliotoka familia za kimaskini.
hamna cha kushangaza mm nina rafiki yangu alimaliza degree ya elimu arts anauza karanga mtaani na mwaka mmoja aliokaa ameshajenga nyumba kijijini anaishi na ameoa anatunza familiavyke ya watoto wawili na mkewe.
Hakika DR.Kazungu anastahili kwani ni mwalimu mzuri sana aliyebobea ktk masuala ya uchumi namkumbuka sana sana nilipokuwa Open universty nasoma maandiko yke ya uchumi ni mazuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.