mchumi boy
Member
- Jun 4, 2016
- 70
- 31
du wanawake mnatisha
Haya sawa 33 na mimba inakaa miezi mingapi tumboni? Tuseme alimpa Mimba mkewe siku za mwisho za uhai wake bado huamini ni mwanae?Mie hapo sielewi kabisa mnaposema ni mtoto wa Sokoine alikuwa na miaka 32!!!!
Sokoine alifariki Aprili, 1984 na huyo mtoto amefariki Oktoba, 2017 sasa kamzaa lini?!!!!
Maana tokea Sokoine afariki hadi mauti ya huyo kijana ni miaka 33
Akae kimya asilalamike. Kuumizwa kupo kote kote. Si kila ugomvi kosa ni la mwanamke.Akiachana nao atakula nini?
atadomba wapi?
I Mean Ameokoka?Mkuu Kristo alipokelewa miaka 2000 iliyopita, au unaongelea Kristo gani?
Mean alijiandaa na hukumu ya mileleMkuu Kristo alipokelewa miaka 2000 iliyopita, au unaongelea Kristo gani?
Ajiunge chaputa.Akiachana nao atakula nini?
atadomba wapi?
Marehemu amezaliwa 1976 sio 198432yrs? kwani Sokoine alifariki mwaka gani? ana mtoto wa rika hili kweli? RIP Kereto
Marehemu amezaliwa 1976 sio 1984
Hawezi kuwa na 32 years, labda kama siyo mtoto wa Sokoine!Mtoto wa Waziri mkuu hayati Edward Sokoine,aitwaye Tumaini Ama Kereto Sokoine (32)ameuawa katika ugomvi na mkewe,hata hivyo familia inadai ameanguka kwenye Lango la kuingilia baada ya kupanda juu ili aingie ndani baada ya kukutwa limefungwa na kupasuka kichwa.
Aliacha karot akiwa tumboni. ila hii familia wanahitaji kuwa karibu zaidi na nyuwa za Bwana. maana vifo visivyotarajiwa ndani ya familia sio mpango wa Mungu. vyema wajitahidi kuvunja hii roho ya mauti za ajari. wasichukulie ni kitu cha kawaida tu.Sokoine alifariki mwaka gani kweli?
Huo umri wa mtoto mmmmmmmh
Huyu kafa Jumatano.4.2014 mbona umri wa kifo cha baba ni miaka 34 alafu mtoto anamiaka 32? ila kwa wamasai haishangazi sana. yawezekana kuna jamaa waliendelea kuchomeka mikuki mlangoni kama kawa.Saa saba narobo
Alhamisi tare 12 /4/1984
wamasai hawanaga noma nikuchomeka mkuki mlangoni tyuuMIAKA 33 ILIYOPITA KIJANA ANA 32 .ITAKUWA ALIACHA MIMBA CHANGA