Inawezekana una hoja, lakini inawezekana ni pumba tu na kunajaribu kuleta tetesi au majungu na hapa si mahala pake. Sasa basi ni wajibu wako kutueleza ni sababu gani zimekufanya uamini hivyo, ni mbinu gani zitakazotumika, wahusika ni kina nani, unashauri nini kifanyike ili kuzuia kadhia hiyo nk...