Nape na Mwigulu naomba mnijibu...

Bube nakushukuru nilikuwa na maana kuna usimamiz na kuna kujisimamia. Nchi za wenzetu kama Singapore malasia na zingine tulizowahi kufanana kimaendeleo kila mtu hujituma ktk eneo lake la kazi. Lakini tz kila mtu anajituma kuiba ktk eneo lake, mfano anayepewa kujenga zahanati ya kijiji anajitahidi kuiba bila kuwajali masikini hivyohivyo anayejenga maabara, barabara nk. Laiti kila moja angetenda haki kwa masikini hali ingekuwa tofauti. Rais hawezi kuwa kila kijiji ndio ilikuwa maana yangu. Sada madam uaminifu huo haupo ndio nasema tunahitaji sheria kali kwenye matumizi ya madaraka na uaminifu ktk rasilimali za umma. Kauli ya makamba sr ina angle nyingi hivyo maana halisi haitakuwa moja ila kujenga nchi kaka hata ubadili chama bila sheria kali na watu wenyewe kuacha ubinafsi badiliko linaweza lisiwe la kiwango hicho unachokipigia picha. Haya anayosema mrema naunga mkono na mimi natamani anayelipa mishahara hewa, anayepata hati chafu na aliyepata hati safi ila value for money haipo wawe na gereza lao
 
Bube nakushukuru nilikuwa na maana kuna usimamiz na kuna kujisimamia. Nchi za wenzetu kama Singapore malasia na zingine tulizowahi kufanana kimaendeleo kila mtu hujituma ktk eneo lake la kazi. Lakini tz kila mtu anajituma kuiba ktk eneo lake, mfano anayepewa kujenga zahanati ya kijiji anajitahidi kuiba bila kuwajali masikini hivyohivyo anayejenga maabara, barabara nk. Laiti kila moja angetenda haki kwa masikini hali ingekuwa tofauti. Rais hawezi kuwa kila kijiji ndio ilikuwa maana yangu. Sada madam uaminifu huo haupo ndio nasema tunahitaji sheria kali kwenye matumizi ya madaraka na uaminifu ktk rasilimali za umma. Kauli ya makamba sr ina angle nyingi hivyo maana halisi haitakuwa moja ila kujenga nchi kaka hata ubadili chama bila sheria kali na watu wenyewe kuacha ubinafsi badiliko linaweza lisiwe la kiwango hicho unachokipigia picha. Haya anayosema mrema naunga mkono na mimi natamani anayelipa mishahara hewa, anayepata hati chafu na aliyepata hati safi ila value for money haipo wawe na gereza lao

Natamani unayoyasema yawe katika vitendo!
 
hari ya pasaka wana jf. Mtoboa siri swali lako pana mno cos sekita ziko nyingi hata ukiichukia ccm kiasi gani huwezi sema ni sifuri. Ni sawa kuna mapungufu lakini sio sifuri. Kwa upande wangu sioni kama chama ni tatizo bali tatizo ni kwa baadhi ya wasimamizi kukosa uaminifu na uzalendo. Tatizo sio kwenye sera bali tanzania kuna mipango ambayo ilipopelekwa nchi za jiran walibadili jina la nchi tu wakaisimia mia vizuri ngazi zote ikawapa matunda mazuri. Nchi haijengwi na mtu mmoja. Swali pana ndio maana nimeogelea kujibu. Ila ktk kukushawishi nakuomba tusiangalie chama kama gari tuangalie chanzo. Utakubali kuwa kuna watendaji wengine wa serikali wala sio wanaccm na ni wabovu hawana uzalendo kwa nchi laiti watanzania wote walio na nyadhifa wangejua kuwa hawapaswi kuitumikia ccm bali waitumikie tanzania uzalendo ungekuwa juu. Watumishi wa ccm waitumikie ccm wa serikali wawatumikie watanzania na wawe wazalendo
mami, msebije. Chama ndo kinaongoza serikali. Kama ninavyofahamu mimi, failure ya supervisee ni failure ya supervisor. Unasemaje kama baadhi ya viongozi ndiyo wabovu na mna kila nguvu ya kuwaengua au kuwarekebisha? Kumbuka rais ni mwenyekiti wa chama chako. Unataka kuniambia yeye kama mwenyekit4 na nyie wote mmeshindwa kuwawajibisha hawa wabovu?
 
Nachukia mtu aliyeboronga kuhamishwa, hata mvivu tu kulelewa cos kuna watu wengi sana wanatafuta kazi. Inawekana awamu ya kwanza ilihamisha watu walioboronga sawa wasomi hawakwepo niliwahi kufuatilia nikaambiwa sheria zinawalinda waborongaji kuwa ukimfukuza utamlipa hela nyingi. Bila ubishi tuziangalie upya sheria hizo. Tuwasiliane kwa facebook nikupe cm kwa ushauri. Nakuelewa you have a point
Braza ni wewe kweli unayeongea haya au mtu amehack account yako? Kwa jinsi navyoamini hakuna mwana ccm anayeonea uchungu utendaji mbovu serikalini thts why mmeacha wajichukulie vyao mapema. Anyway its too late tumewachoka
 
Nachukia mtu aliyeboronga kuhamishwa, hata mvivu tu kulelewa cos kuna watu wengi sana wanatafuta kazi. Inawekana awamu ya kwanza ilihamisha watu walioboronga sawa wasomi hawakwepo niliwahi kufuatilia nikaambiwa sheria zinawalinda waborongaji kuwa ukimfukuza utamlipa hela nyingi. Bila ubishi tuziangalie upya sheria hizo. Tuwasiliane kwa facebook nikupe cm kwa ushauri. Nakuelewa you have a point

Hello Mr. Nchemba kama bado uko online, unaweza kukubaliana na mimi kuwa usimamizi mbovu hasa katika kuisimamia serikali na kujuana juana ndio kumetufikisha hapa tulipo? Mfano rahisi kabisa, wewe ukiwa kama mtanzania weka kando itikadi yako kisiasa ambayo wewe inakupa heshima no matter kwa muda (Kama..............) au heshima ya kudumu (Kama Mwl. J.K. Nyerere) na pia inakuweka pazuri kimaisha, na pia achilia mbali EPA, RADA,RICHMOND,TICTS. Inakuwaje mtu atoswe kugombea ubunge kisa ametuhumiwa kutoa rushwa ya Tsh 100,000 huku mtuhumiwa aliyeiba mabilion EPA apewe tenda ya kusupply matrector tena kwa fedha za watanzania?
 
minaona ccm haina inalolifanya kama lipo basi nikurudisha maendele nyuma, hembu fikiri; kabla ya uhuru na some years after uhuru kulikuwa na tren inayo fanya kazi, kulikuwa na ndege za serikali zinazofanya kazi, bandari zetu zilikuwa zinz fanya kazi vizuri, viwanda vilikuwepo vingi ingawaje sio sana, kiwango cha elimu kilikuwa angalao kina ridhisha nk . Lakini miaka sasa, reli imekufa, ndege hazijulikani ziko wapi, bandarini yamebakia mangalawa ya wavuvi, viwanda vimekufa, kiwango cha elimu ndo kinazidi kushuka kwa kasi nk; swali langu hawa ccm wana jenga nchi au wana bomoa!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Bube nakushukuru nilikuwa na maana kuna usimamiz na kuna kujisimamia. Nchi za wenzetu kama Singapore malasia na zingine tulizowahi kufanana kimaendeleo kila mtu hujituma ktk eneo lake la kazi. Lakini tz kila mtu anajituma kuiba ktk eneo lake, mfano anayepewa kujenga zahanati ya kijiji anajitahidi kuiba bila kuwajali masikini hivyohivyo anayejenga maabara, barabara nk. Laiti kila moja angetenda haki kwa masikini hali ingekuwa tofauti. Rais hawezi kuwa kila kijiji ndio ilikuwa maana yangu. Sada madam uaminifu huo haupo ndio nasema tunahitaji sheria kali kwenye matumizi ya madaraka na uaminifu ktk rasilimali za umma. Kauli ya makamba sr ina angle nyingi hivyo maana halisi haitakuwa moja ila kujenga nchi kaka hata ubadili chama bila sheria kali na watu wenyewe kuacha ubinafsi badiliko linaweza lisiwe la kiwango hicho unachokipigia picha. Haya anayosema mrema naunga mkono na mimi natamani anayelipa mishahara hewa, anayepata hati chafu na aliyepata hati safi ila value for money haipo wawe na gereza lao
Mwigulu,
Aliyepewa dhamana ya kuunda sheria kali na kuzi-enforce ni ccm. Tabia ya wananchi ya kuipenda nchi yao kwa dhati haitokei kama muujiza. Inatokana na uongozi imara unaosimamia vizuri tabia na mienendo ya wananchi wake tangu wanapokuwa wadogo mashuleni. Mimi nakumbuka wakati tukiwa shule ya msingi mwanzoni mwa miaka ya themanini tulikuwa tukifundishwa kuimba nyimbo za kuhamasisha kuipenda nchi yetu na kuitumikia kwa maslahi ya wengi. Mwalimu akiingia darasani kabla ya kumsalimu tulikuwa tukisema nanukuu ''taifa letu litegemea vijana na vijana wenyewe ndiyo sisi'' mwisho wa kunukuu. Baada ya maneno hayo ndiyo tulikuwa tunamalizia na "shikamoo mwalimu''. Kwa ujumla, Mwl. Nyerere alijitahidi sana kujenga taifa lenye wananchi wenye uzalendo lakini baada ya kuondoka chama kikamezwa na wenye fedha na sasa uzalendo ni almost zero.

Kikubwa ninachotaka kusema ni kwamba nchi za Tigger Nations zimeendelea kutokana na uongozi imara wa serikali zao unaotunga sera na sheria zenye manufaa mapana kwa wananchi. Wananchi wao waliamua kuwaunga mkono kwa kufanya kazi kwa bidii baada ya kuridhishwa na uongozi unaosukumwa na maslahi ya wananchi. Hapa kwetu, viongozi wanatumia muda wao mwingi na rasilimali za taifa kwa manufaa yao binafsi. Leo anateuliwa waziri akiwa hana hata nyumba ya maana baada ya miaka miwili unaambiwa waziri huyo ni miongoni mwa matajiri waliokubuhu. Katika hali kama hiyo, mwananchi wa kawaida mmoja mmoja atawezaje kuwa mzalendo!! Ndiyo maana nasema lawama zote nazielekeza kwa ccm na serikali yake kwa kushindwa kuongoza nchi kupata maendeleo pamoja na kuzungukwa na rasilimali nyingi.
 
tatizo ni sheria au ujasiri wa kuchukua hatua?hapo juu unasema sheria zetu ni nzuri na zinatumiwa na mataifa mengine sasa hivi ushaanza kugeuza kiswahili.
Kweli ccm mnapenda utapeli sana.

kaka nimekukubali. hawa watu wanatutania sana.
 
Hello Mr. Nchemba kama bado uko online, unaweza kukubaliana na mimi kuwa usimamizi mbovu hasa katika kuisimamia serikali na kujuana juana ndio kumetufikisha hapa tulipo? Mfano rahisi kabisa, wewe ukiwa kama mtanzania weka kando itikadi yako kisiasa ambayo wewe inakupa heshima no matter kwa muda (Kama..............) au heshima ya kudumu (Kama Mwl. J.K. Nyerere) na pia inakuweka pazuri kimaisha, na pia achilia mbali EPA, RADA,RICHMOND,TICTS. Inakuwaje mtu atoswe kugombea ubunge kisa ametuhumiwa kutoa rushwa ya Tsh 100,000 huku mtuhumiwa aliyeiba mabilion EPA apewe tenda ya kusupply matrector tena kwa fedha za watanzania?

eti hapa atakwambia tunahitaji wafanyakazi wazalendo kuwashughulikia..

I promise u mwigulu kwamba watu hao ndio wameanza kujitokeza na hawaitaki ccm.
 
ulukolokwitanga siku hazifanani na pia hata mapacha tabia hazifanani. Wana CCM nao hawafanani na inapokwepo tabia mbaya ya mtanzania mmoja haina maana watanzania wote ni majizi. Nayasema toka moyoni na ndio ninayoamini. Mifano inahitajika kwa wahalifu ili wengine waogope kucheza na mali za wavuja jasho
 
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ninamaoni na pamoja na kuwa chama tawala najua wapi panachangamoto na wapi panakwenda vizuri. Nilichosema kama taifa tuna tatizo la uzalendo na pia kuna tatizo la watu kutokujituma. Nasema tuna kila sababu ya kutilia mkazo uzalendo na uaminifu tunapoandaa sheria mama mpya.
Wewe na chama chako mmeteleza ktk kuikumbatia rushwa. Kukumbatia rushwa hakuna tofauti na kukumatia mbuyu. Kama rushwa inaachiwa ifanyike hadharani eti mnatoa shukrani kwa polisi kukilinda chama kubakia madarakani, then forget about kupata maendeleo hapa nchini. No corrupt country has ever developed in dis world
 
ulukolokwitanga siku hazifanani na pia hata mapacha tabia hazifanani. Wana CCM nao hawafanani na inapokwepo tabia mbaya ya mtanzania mmoja haina maana watanzania wote ni majizi. Nayasema toka moyoni na ndio ninayoamini. Mifano inahitajika kwa wahalifu ili wengine waogope kucheza na mali za wavuja jasho
Hivi mambo haya mazito kwa mustakabali wa nchi huwa mnayajadili kwenye vikao vya chama au kama kawaida yenu mnaoneana haya? Hao waharifu kwa nini msiwachukulie hatua ya kuwaondoa kwenye chama badala ya kusubiri mkondo wa sheria uwadhihirishie? Hivi hamuoni kuwa kuendelea kuwalea ndani ya chama kunahatarisha chama? Hamjui kuwa nguvu ya fedha waliyonayo inaweza kuwaengua kutoka kwenye chama wazalendo wa kweli wanaoipenda ncho yao na kubakiza majambazi watakaoiangamiza nchi!?
 
Hari ya Pasaka wana JF. Mtoboa siri swali lako pana mno cos sekita ziko nyingi hata ukiichukia CCM KIASI GANI HUWEZI SEMA NI SIFURI. NI SAWA KUNA MAPUNGUFU LAKINI SIO SIFURI. KWA UPANDE WANGU SIONI KAMA CHAMA NI TATIZO BALI TATIZO NI KWA BAADHI YA WASIMAMIZI KUKOSA UAMINIFU NA UZALENDO. TATIZO SIO KWENYE SERA BALI TANZANIA KUNA MIPANGO AMBAYO ILIPOPELEKWA NCHI ZA JIRAN WALIBADILI JINA LA NCHI TU WAKAISIMIA MIA VIZURI NGAZI ZOTE IKAWAPA MATUNDA MAZURI. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA. SWALI PANA NDIO MAANA NIMEOGELEA KUJIBU. ILA KTK KUKUSHAWISHI NAKUOMBA TUSIANGALIE CHAMA KAMA GARI TUANGALIE CHANZO. UTAKUBALI KUWA KUNA WATENDAJI WENGINE WA SERIKALI WALA SIO WANACCM NA NI WABOVU HAWANA UZALENDO KWA NCHI LAITI WATANZANIA WOTE WALIO NA NYADHIFA WANGEJUA KUWA HAWAPASWI KUITUMIKIA CCM BALI WAITUMIKIE TANZANIA UZALENDO UNGEKUWA JUU. WATUMISHI WA CCM WAITUMIKIE CCM WA SERIKALI WAWATUMIKIE WATANZANIA NA WAWE WAZALENDO

Mh. Nchemba, je umesahau nyie kama ndio mmeunda serikali na ndio wenye mamlaka ya kusimamia utendaji? kama watendaji wanawaangusha mnachukua hatua gani kuwawajibisha? au mnaona ni 'wenzetu' kisha mnapata kigugumizi cha kuwashughulikia?

Nadhani utakubaliana nami kwamba Watanzania waliowengi wamechoka na siasa zenu za uongo... mnaongea sana lakini utekelezaji ni hafifu sana.
 
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ninamaoni na pamoja na kuwa chama tawala najua wapi panachangamoto
na wapi panakwenda vizuri. Nilichosema kama taifa tuna tatizo la uzalendo na pia kuna tatizo la watu kutokujituma. Nasema tuna kila sababu ya kutilia mkazo uzalendo na uaminifu tunapoandaa sheria mama mpya.

Ni kweli Nchemba wewe ni Mzalendo na una haki ya kuongelea haya lakini kumbuka tofauti yako na sisi ni kuwa Sisi sehemu yetu ya kusemea ni box la kura (mamlaka tuliyonayo) napo ni muda kutekeleza hili yaani kila baada ya miaka 5.Wewe uko CC,NEC na pia ni Secretariate ya Chama, hivyo unanafasi kubwa ya kuyazungumzia haya.Upande wa pili wa Muhimili wewe ni Mbunge katika chombo chenye nguvu cha kumake things to happen kwa maana ya kuisimamia Serikali.

Hivyo Nchemba haki yako inaathiriwa na Mamlaka uliyonayo ya kumake things happen hali ya kuwa Sisi (wananchi) tuna wait things happen.Otherwise tutakuwa Taifa la Viongozi wanalia huku Wananchi pia wanalia.

Thanks!Na imani utakuwa Balozi Mwema kwenye Vikao vya Chama vya Tathmini pamoja na hizo sheria unazolia nazo utakuwa wakwanza kuzisimamia Bungeni.
 
Kwa taarifa yako Mwigulu hakuna watu waoga duniani kama watanzania. Kumaliza rushwa nchi hii ni kazi ya wiki moja tu kama kuna dhamira ya kweli. Kwa sisi tunaolipa kodi kiukweli inatuuma sana kuishi katika mitaa isiyo na barabara wala mfumo wa maji taka kwa mfano. Hakuna future plan for the growing population, barabara za population ya miaka ya 60 ndio zinatumikia 2012 na nyie watawala hamna mpango wowote wa kubadilika. Hamkitendei haki kizazi kijacho na sisi wenye watoto wadogo tunawafundisha kuwa ADUI WA USTAWI WAO ni ccm
 
Nape hatoenekana hapa, atakuwa Facebook anajibizana na wanafunzi wa shule za Kata. Maswali kama haya Nape hawezi kuyajibu. Hongera Mh Mwigulu LM Nchemba kwa kuja kujibu hoja za chama chako
 
We Mwigulu, hivi unaandika kwa kuelekezwa au yanatoka moyoni mwako? Mbona una nafasi kubwa sana ya kukutana na mwenyekiti wako na kumshauri juu ya anavyoendesha nchi!? Swala la Lowassa, Chenge, David Jairo, Bakali Malima, Ngeleja n.k n.k n.k. Wewe huyajui madhambi ya watu hao? Hadji Mponda na Nkya je? Kuweni transparence bwana, nyie mnajali matumbo yenu na chama chenu, na si Watanzania walala hoi. Siku zenu zinahesabika, kaeni chonjo.
 
Back
Top Bottom