MCHUMA MBOGA
Member
- Mar 29, 2012
- 18
- 10
Nappe amesema CCM haitakuja kufa na itaongoza milele.
Ameitoa kauli hiyo kufuatia kauli zilizotamkwa na wazee 3 ambao ni Butiku, Kitine na mzee Kaduma waliosema kuwa CCM inakaribia kufa bin kutokomea.
Source: ITV taarifa ya habari saa mbili jioni ya leo
CCM ni chama kinachokaribia kufa kwani kimeshindwa kuwashawishi na kuwavutia vijana na wasomi. Unadhani hao wazee ving'ang'anizi wana muda mrefu na hicho chama? Chama ni vijana mkuu. Hivi sasa Tanzania yetu hii, nenda shule zote za sekondari wanatamka upinzani, vyuoni ndio kabisaaaaaaa usiseme. CCM haina future, muda si mrefu itakuwa ni historia.