Msafara wa Mkapa, Lowassa, Nape, Mukama wazomewa baada ya mkutano wa kampeni huko Patandi - Arumeru

MCHUMA MBOGA

Member
Mar 29, 2012
18
10
Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo 30.03.2012 kuanzia saa kumi jioni huko uwanja wa michezo Patandi Arumeru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa magamba kama vile Mkapa, Lowassa, Wasira, Nnape, Sophia Simba, Katibu Mkuu wa magamba Mukama wabunge mbalimbali bila kumsahau mgombea wao Siyoi Sumari na kumalizika saa kumi na moja kamili jioni.

Watu waliojitokeza ni wakina mama wachache na watoto kadhaa na vijana wa green guards ambao idadi yao karibu ililingana na idadi ya watu kutoka vyombo vya ulinzi na usalama ambao leo walikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Baada ya kumaliza mkutano wao magamba wakitumia magari MENGI ya kifahari ya TOYOTA LAND CRUISER GX V8 waliondoka na kutimua vumbi wakielekea Usa River na walipofika kwenye makutano ya barabara ya kwenda Moshi - Arusha ndipo balaa lilipowakuta kwani walikutana na kundi kubwa la watu ambao idadi yao ni karibu mara tatu ya wale waliokuwa kwenye mkutano wa kampeni hapo Patandi na kuanza kuwazomea kwa kuwaita mafisadi na kuwaonyesha alama ya "V".

Walipoona hivyo msafara wa mgamba ukaongeza spidi na kutokomea kuelekea Usa River.

Source: Nilikuwepo pale in person.
 
Thanks, kwa taarifa mkuu. 01.04. 2012.isiwe siku ya wajinga, bali cku ya kuwafanya magamba ndo wajinga! Wana meru msituangushe!
 
Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo 30.03.2012 kuanzia saa kumi jioni huko uwanja wa michezo Patandi Arumeru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa magamba kama vile Mkapa, Lowassa, Wasira, Nnape, Sophia Simba, Katibu Mkuu wa magamba Mukama wabunge mbalimbali bila kumsahau mgombea wao Siyoi Sumari na kumalizika saa kumi na moja kamili jioni.

Watu waliojitokeza ni wakina mama wachache na watoto kadhaa na vijana wa green guards ambao idadi yao karibu ililingana na idadi ya watu kutoka vyombo vya ulinzi na usalama ambao leo walikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Baada ya kumaliza mkutano wao magamba wakitumia magari MENGI ya kifahari ya TOYOTA LAND CRUISER GX V8 waliondoka na kutimua vumbi wakielekea Usa River na walipofika kwenye makutano ya barabara ya kwenda Moshi - Arusha ndipo balaa lilipowakuta kwani walikutana na kundi kubwa la watu ambao idadi yao ni karibu mara tatu ya wale waliokuwa kwenye mkutano wa kampeni hapo Patandi na kuanza kuwazomea kwa kuwaita mafisadi na kuwaonyesha alama ya "V".

Walipoona hivyo msafara wa mgamba ukaongeza spidi na kutokomea kuelekea Usa River.

Source: Nilikuwepo pale in person.

Magambbaa maggambaa magambbbbaaaaaaaaaaaaa your days are numbered anzeni kusali kupunguza adhabu zenu
 
Wazee waliomba CCM iwafukuze kazi walimu eti kisa wanawafundisha wanafunzi kuwazomea magamba na kuwaonesha alam ya V,mara hii magamba yatawanyofoka kama koboko
 
Bado zomea zomea inaendelea hapa kwenye kituo cha magari tengeru na watu ni wengi sana.
 
Kumbe ndio maana wakamtumia maji marefu kuchukua roho za ndugu zetu wasio na hatia hapo kilala kwa kugonganisha haice na scania.mungu awalaani
 
wewe ni muongo kama sugu mr ii, lowasa kafunika kule. na Lowassa ni Rais 2015 wa wasomi.kutawaliwa na chadema ni zaidi ya vita.unafikiri wana arumeru wajinga? hawaoni upuuzi unaoenendelea Arusha mjini? SIOI JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 
..Mkapa.

..Lowassa.

..Nape.

..Wassira.

..Lusinde.

..Prof.Maji Marefu.

..aliyesema CCM ni sawa na KOKORO hakukosea.
 
wewe ni muongo kama sugu mr ii, lowasa kafunika kule. na Lowassa ni Rais 2015 wa wasomi.kutawaliwa na chadema ni zaidi ya vita.unafikiri wana arumeru wajinga? hawaoni upuuzi unaoenendelea Arusha mjini? SIOI JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
Tupe picha wewe gamba usilete longolongo
 
Watu wamekosa namna ya kufikisha ujumbe kwa watawala kuwa wamechoka na ghiliba sasa wameona njia sahihi ni kuzomea.Safi sana.Walisha shangiliwa vya kutosha wakajisahau.
 
Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo 30.03.2012 kuanzia saa kumi jioni huko uwanja wa michezo Patandi Arumeru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa magamba kama vile Mkapa, Lowassa, Wasira, Nnape, Sophia Simba, Katibu Mkuu wa magamba Mukama wabunge mbalimbali bila kumsahau mgombea wao Siyoi Sumari na kumalizika saa kumi na moja kamili jioni.

Watu waliojitokeza ni wakina mama wachache na watoto kadhaa na vijana wa green guards ambao idadi yao karibu ililingana na idadi ya watu kutoka vyombo vya ulinzi na usalama ambao leo walikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Baada ya kumaliza mkutano wao magamba wakitumia magari MENGI ya kifahari ya TOYOTA LAND CRUISER GX V8 waliondoka na kutimua vumbi wakielekea Usa River na walipofika kwenye makutano ya barabara ya kwenda Moshi - Arusha ndipo balaa lilipowakuta kwani walikutana na kundi kubwa la watu ambao idadi yao ni karibu mara tatu ya wale waliokuwa kwenye mkutano wa kampeni hapo Patandi na kuanza kuwazomea kwa kuwaita mafisadi na kuwaonyesha alama ya "V".

Walipoona hivyo msafara wa mgamba ukaongeza spidi na kutokomea kuelekea Usa River.

Source: Nilikuwepo pale in person.

acha uongo we jamaa, huo unaosema msafara ulikuwa bado hujaondoka na wala hawakupita njia hiyo unayosema, ni uzushi mtupu! LETA PICHA AU UTHIBITISHO WOWOTE KUPROVE MADAI YAKO OTHERWISE UTAKUWA UNAPOTOSHA JAMII YOTE
 
Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo 30.03.2012 kuanzia saa kumi jioni huko uwanja wa michezo Patandi Arumeru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa magamba kama vile Mkapa, Lowassa, Wasira, Nnape, Sophia Simba, Katibu Mkuu wa magamba Mukama wabunge mbalimbali bila kumsahau mgombea wao Siyoi Sumari na kumalizika saa kumi na moja kamili jioni.

Watu waliojitokeza ni wakina mama wachache na watoto kadhaa na vijana wa green guards ambao idadi yao karibu ililingana na idadi ya watu kutoka vyombo vya ulinzi na usalama ambao leo walikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Baada ya kumaliza mkutano wao magamba wakitumia magari MENGI ya kifahari ya TOYOTA LAND CRUISER GX V8 waliondoka na kutimua vumbi wakielekea Usa River na walipofika kwenye makutano ya barabara ya kwenda Moshi - Arusha ndipo balaa lilipowakuta kwani walikutana na kundi kubwa la watu ambao idadi yao ni karibu mara tatu ya wale waliokuwa kwenye mkutano wa kampeni hapo Patandi na kuanza kuwazomea kwa kuwaita mafisadi na kuwaonyesha alama ya "V".

Walipoona hivyo msafara wa mgamba ukaongeza spidi na kutokomea kuelekea Usa River.

Source: Nilikuwepo pale in person.

acha uongo we jamaa, huo mda unaosema msafara ulikuwa bado hujaondoka na wala hawakupita njia hiyo unayosema, ni uzushi mtupu! LETA PICHA AU UTHIBITISHO WOWOTE KUPROVE MADAI YAKO OTHERWISE UTAKUWA UNAPOTOSHA JAMII YOTE
 
Inawezekana hii.....

attachment.php


attachment.php



https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-leo-arumeru-avunja-rekodi-ya-mahudhurio.html
 
acha uongo we jamaa, huo mda unaosema msafara ulikuwa bado hujaondoka na wala hawakupita njia hiyo unayosema, ni uzushi mtupu! LETA PICHA AU UTHIBITISHO WOWOTE KUPROVE MADAI YAKO OTHERWISE UTAKUWA UNAPOTOSHA JAMII YOTE
Mbona uanaweweseka sana bwana mdogo? kama unakiamini chama chako cha Magamba bado kinapendwa ni kwa nini unaweweseka hivi!!??
 
Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo 30.03.2012 kuanzia saa kumi jioni huko uwanja wa michezo Patandi Arumeru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa magamba kama vile Mkapa, Lowassa, Wasira, Nnape, Sophia Simba, Katibu Mkuu wa magamba Mukama wabunge mbalimbali bila kumsahau mgombea wao Siyoi Sumari na kumalizika saa kumi na moja kamili jioni.

Watu waliojitokeza ni wakina mama wachache na watoto kadhaa na vijana wa green guards ambao idadi yao karibu ililingana na idadi ya watu kutoka vyombo vya ulinzi na usalama ambao leo walikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Baada ya kumaliza mkutano wao magamba wakitumia magari MENGI ya kifahari ya TOYOTA LAND CRUISER GX V8 waliondoka na kutimua vumbi wakielekea Usa River na walipofika kwenye makutano ya barabara ya kwenda Moshi - Arusha ndipo balaa lilipowakuta kwani walikutana na kundi kubwa la watu ambao idadi yao ni karibu mara tatu ya wale waliokuwa kwenye mkutano wa kampeni hapo Patandi na kuanza kuwazomea kwa kuwaita mafisadi na kuwaonyesha alama ya "V".

Walipoona hivyo msafara wa mgamba ukaongeza spidi na kutokomea kuelekea Usa River.

Source: Nilikuwepo pale in person.

Mikusanyiko ya wanaCDM imeanzia sanawari lowassa alipo pita kazomewa mbaya yaan barabara ya Arusha-moshi imechafuka watu wamejipanga ni mwendo wa "V"yaan kila gamba likipita ni buuuuuuuuuuuu!umepita msafara wa Nassari watu wamelipuka kwa yowe na vifijo.
 
Back
Top Bottom