Nikiwa njozini leo Mungu amenifunulia maono haya. Kama CDM watatoa ELIMU ya URAIA nchi hii ikawaingia VIJANA na kufanikisha at least >80% ya vijana kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga KURA. Basi hakutakuwa na njia ya kuizuia CDM kuingia IKULU ya Magogoni.
My Take: Viongozi wa CDM, Imarisheni M4C ifanye kazi kuhakikisha VIJANA wanajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, fursa hiyo itakapotokea. Vijana wameshaanza kufahamu umuhimu wa kura zao. Ili kufanikisha hili mimi ninajitolea kuchangia M4C 10,000/- kila mwezi kwa miezi 9, kwani 10,000/- nilizochangia last month zimezaa matunda Arumeru Mashariki.
Ukombozi wa nchi unahitaji sacrfice