Sera za chadema nazipenda sana lkn kinaniboa zaidi ktk suala zima la ubinafsi udini na ukabila, wala hakuna ubishi chama hiki kitapoteza dira maswala ya udini kamuuliza Mwigulu kanisani kani si maala pa kampeni
sura yako mpya lakini akili za kizee,Sera za chadema nazipenda sana lkn kinaniboa zaidi ktk suala zima la ubinafsi udini na ukabila, wala hakuna ubishi chama hiki kitapoteza dira maswala ya udini kamuuliza Mwigulu kanisani kani si maala pa kampeni
we ndo mdini na mkabilaSera za chadema nazipenda sana lkn kinaniboa zaidi ktk suala zima la ubinafsi udini na ukabila, wala hakuna ubishi chama hiki kitapoteza dira
muda unavyozidi kwenda ndivyo hali ya furaha inavyozidi kuongezeka.
Hapa maeneo ya usa mpaka tengeru kuna maandamano makubwa sana.gari moja la polisi limeshindwa kupita na hivyo kugeuza haraka na kukimbia baada ya vijana kuanza kuwatishia polisi.
Huu sasa ulimbukeni, hata sherehe mnataka kuzipangia kanuni? wenzenu walikoswa koswa kumwagiwa matindikali, kupigwa risasi, kukatwa mapanga na mashoka, macho yamewavimba kwa mabomu ya machozi waliyovurumishiwa na mapolisi ili kuwatisha waachane na mkakati wa kulinda kura! leo wameshashinda mnataka washerehekee kinyonge, lazima, narudia lazima washerehekee kwa kujinafasi, POLICE MUST STAY AWAY TO SPARE OUR ANGER WHILE CELEBRATING. THEIR PRESENCE IS MOKING. Inatukumbusha matusi ya lusinde.