Watu wamechukua tafsiri isiyo sahihi hasa waislamu ambao dini yao wameibeba kwa matukio tu na sio kwa elimu ya dini yenyewe.
Mfano unaweza ishi na rafiki yako usijue km ni muislamu ila utakuja kulijua hilo wakati wa mwezi wa RAMADHANI,akitaka kuoa, ama sikukuu ya idd. LAKINI si kweli kwamba...
Watu wakiacha mihemko ya uteam HII nyimbo ni KALI NA HAIFANANI NA YA MSANII YEYOTE WALA HAIFANANI N.A. NGOMA ZAKE ZA AWALI.
HONGERA KWA MANWATER
HONGERA KWA ALIKIBA
SIO kama hautuhitaji kwenda international LA ila kama tunakwenda international twende na Vya KWETU KAMA AJE NA SEDUCE ME....
UMEROGWA WEWE ,wako wapi akina Deo Filikunjombe,Selina Kombani,Mzee Komba wa TOT,Yuko wapi Abdallah Kigoda??? Hawa baadhi walikuwa teamLowassa original,
LAKINI ACCACIA MUNGU anawaona SISI tunawadai trl. 400 wao wanatushitaki kwa trl.4 tu tuwalipeni wasitutishe buana...
Serikali muda huu iko kama mtu ambaye yuko na wakwe zake alafu ana kijambo wakati anajua kuwa akijamba kuna mawili
1.huenda kajinyea Kwa kuhara
2 .kajamba kawaida
Mzee wa kiki...
Beka ni machine ya umeme ambayo iko katika kijiji ambacho REA hakufika nA Aslay ni machine ya umeme ambayo kila siku iko kwa fundi. ..
Beka ni mkali sana ila amekosa support toka kwa fella,tale na WCB kwa ujumla.
Kura yangu kwa BEKA MAVOKO
Wakati mitandao ya simu inauza dakika na meseji tu hilo halikuwa na shida,TATIZO ni kwamba sasa MITANDAO YA SIMU INAUZA MB.kwahiyo demu anainvest kwenye kufurushi cha jero anaingia fb au whatsapp au badoo au insta na kuanza kutafuta faida kutokana na mtaji wake wa jero.
Mademu siku hizi hata...
MAGUFULI 0-LISSU 7
HII ILIKUWA TRICK YA KUMUAMINISHA ******** KUWA JAMAA HATOTOKA.
KWA SASA NCHI HII INA MARAIS WAWILI YAANI LISSU NA HUYU BWEGE .
YULE HAKIMU KULE YUKO CHINI YA LISSU NA KWA KUWA HUYU BWEGE HANA AKILI ,HAKIMU HAKUTAKA KUMSIKILIZA BWEGE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.