Recent content by mchorazombie

  1. M

    Viwango vya mshahara serikalini degree 1

    U ukitoa load board utakunja laki nne na points.
  2. M

    Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Hili si jambo lakujiuliza hata kidogo, watu wenye sifa tajwa watume maombi ya ajira then kwenye kupiga kura watajua wenyewe maana si lazima wawachague hao waliotoa ajira.
  3. M

    Kada ya Engineering, ualimu Tamisemi

    Hao wenye taaluma za engineering watapelekwa kwenye technical schools mbalimbali wakawanoe vijana zaidi, good idea.
  4. M

    GE2020 PICHA: Tofauti ya umati wa watu kati ya CHADEMA na CCM

    Usisahau hayo mabasi na maroli yamewachukua watu kwa trip kadhaa.
  5. M

    Mzozo wa mpakani kati ya Rwanda na Uganda wazidi kufukuta

    Mkuu bora likizo iishe warudi shule.
  6. M

    Nikki wa Pili bado hataki kazi kama alivyoimba mwaka 2014

    Mkuu hii mitandao ya kijamii, cerebrities na watu wengi huwa wanapost vipicha wanakula bata nk ili waonekane wana maisha mazuri ila in reality si hivyo.
  7. M

    Nataka nianze kuenenda kisomi

    Soma nije kukuajiri.
  8. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Ndugu yangu Nkanga stress zitakuua, acha kuwaletea uchawi vijana. Ni PM nikupekazi yakunifulia gwanda walau upate ela za vocha.
  9. M

    Fumbo pasua kichwa: Mpelelezi alimjuaje muuaji wa Mzee Kambi?

    Jibu lako linauzito na usahihi kwa kiasi kikubwa Sana mkuu
  10. M

    Ajira za watumishi 2016/2017

    Kama namba tumeshaisoma, bado kuiandika sasa.....
  11. M

    Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

    wacha kutoa povu hapa we mkorongwa tope.
  12. M

    Natabiri kusitishwa kwa muda uamuzi wa Waziri Mkuu kuhamia Dodoma ifikapo mwezi September mwaka huu

    mkuu umesahau kua kaulimbiu yetu ni mbele kwa mbele..
  13. M

    Jinsi ya kumwingia dem ambaye hujawai onana nae

    ukikutana naye kwa mara ya kwanza muamkie kwanza "shikamoo" then anza kuflow mistari ya nyimbo ya muheshimiwa temba-nampenda yeye.... hasa ile verse inayoanza hiv "sikujui, hunijui ila jua mimi nakupenda, mungu akipenda tutaishi kama wapendwa..........
Back
Top Bottom