Hili si jambo lakujiuliza hata kidogo, watu wenye sifa tajwa watume maombi ya ajira then kwenye kupiga kura watajua wenyewe maana si lazima wawachague hao waliotoa ajira.
Mkuu hii mitandao ya kijamii, cerebrities na watu wengi huwa wanapost vipicha wanakula bata nk ili waonekane wana maisha mazuri ila in reality si hivyo.
ukikutana naye kwa mara ya kwanza muamkie kwanza "shikamoo"
then anza kuflow mistari ya nyimbo ya muheshimiwa temba-nampenda yeye....
hasa ile verse inayoanza hiv "sikujui, hunijui ila jua mimi nakupenda, mungu akipenda tutaishi kama wapendwa..........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.