Nataka nianze kuenenda kisomi

Nataka nianze kuenenda kisomi

Mdogo wangu mimi ni neuro scientist

Ila nayafurahia maisha yangu ya hapa chit chat

Nafurahi sana watu wanapofurahi kwa koment zangu za masihara

Maisha hayapo hivyo hata siku moja

Enjoy Your Life , Furahia maisha yako apart from usomi there is other life unasoma ili uishi th lucrative life

Ila Muda wa shule usishinde sana jf iogope kama ukoma

Naamini Umenielewa
 
Ukitaka kuwin hilo zoezi lako usiwe too much talkative vaa ki usmart watu wataamini hata kichwan mwako kupo smart.Miwani ya lenz nmhuvai tu hovyo unavaa kwa sababu ya tatizo la macho vaa miwani kama ya JOHN KISOMO.
Miwani hapana sipendi kuvaa miwani labda nivae lenzi za macho au hazifai lazima miwani?
 
Mdogo wangu mimi ni neuro scientist

Ila nayafurahia maisha yangu ya hapa chit chat

Nafurahi sana watu wanapofurahi kwa koment zangu za masihara

Maisha hayapo hivyo hata siku moja

Enjoy Your Life , Furahia maisha yako apart from usomi there is other life unasoma ili uishi th lucrative life

Ila Muda wa shule usishinde sana jf iogope kama ukoma

Naamini Umenielewa
Neuro science? Duh neurology ngumu sana. Btw asante kwa ushauri wako.
 
Ukitaka kuwin hilo zoezi lako usiwe too much talkative vaa ki usmart watu wataamini hata kichwan mwako kupo smart.Miwani ya lenz nmhuvai tu hovyo unavaa kwa sababu ya tatizo la macho vaa miwani kama ya JOHN KISOMO.
Mimi sio muongeaji naongeaga huku tu online. Miwani ya John kisomo ndio ikoje? 😁
 
Mwezi huu wa tisa naanza chuo rasmi mwaka wa kwanza, naenda kusoma radiology. Sasa naanza ku behave kisomi you know na acha mambo ya kijinga nakuwa msomi. Nitakuwa nawaandikia mawili matatu kule JF doctor. Kwasabau nataka ni behave kisomi Nitakuwa siingii sana huku mmu nitakuwa nasaidia watu wenye matatizo kule kwa forum yetu doctors [emoji23] nabadilisha forum kwaherini mmu. Nawapenda sana [emoji178]

Doctor mtarajiwa DR MY NAME IS MY NAME
Baada ya kumaliza chuo ukishakua jobless usisahau kurudi huku kwenye jukwaa letu pendwa...
 
Shangaa wazungu wametuletea majirani ila muda wote wapo porini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom