Recent content by mchoma mkaa

  1. mchoma mkaa

    WANAUME: Epuka kumwoa Mwanamke kwakuwa ana Mimba yako!

    Zama hizi za ukimwi na magonjwa bado kuna watu wanaendekeza kupiga peku bila hata kupima afya? Daaah tutaendelea kuteketea kama mchwa. Jifunze kujipenda aisee
  2. mchoma mkaa

    Kuna mtu alipendwa kama Juma Nature hapa Tanzania?

    j nature alikuwepo zanzibar jumamosi hii ya juzi na mapacha watatu wakiimbia viti pale police mess
  3. mchoma mkaa

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Sidhani kama queen darleen kawahi kuishi tandale. Nadhani amekulia maghorofa ya kariakoo pale round about na kasomea muhimbili primary. ni mtoto wa kariakoo huyu alihit toka 2000 na dully kwenye julieta na zilizofuatia kibao
  4. mchoma mkaa

    Nyimbo ipi ya Ngwea itakayokufanya umkumbuke daima???

    Track ya Weekend ilikuwa imesimama
  5. mchoma mkaa

    Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu inauza Habari za ofisi ya Rais Kikwete

    Mkubwa nadhani Fred Maro si ndiye hasa mpigapicha mkuu wa raisi anayetambulika kiutumishi? Maana navyoelewa Michuzi alilazimishwa tu kuwa mpiga picha wake kwa sababu ya uSaigoni wake tu. The sad thing vijana wa Michuzi media wanatumia baadhi ya vifaa vya upigaji picha ambavyo ni mali ya umma...
  6. mchoma mkaa

    Red Worm: Kwa kulishia Kuku, Samaki, na vile vile kutengeneza mbolea ya Maji

    Kuna uwezakano nikipita maeneo ya Arusha nikutafute na mimi nijifunze kwa kuona unavyofanya? Ntakushukuru ukisaidia kwa hilo.
  7. mchoma mkaa

    TBC1 wana matatizo gani leo?

    waashachukua umeme dah!
  8. mchoma mkaa

    Prof. Anna Tibaijuka amlipua Zitto Kabwe juu ya pesa alizochukua

    Haaahaaaaa hiyo grammar ni ya Phd holder? Duh!
  9. mchoma mkaa

    Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma, akabiliwa na kesi mbili

    JB nae alikuwa pedeshee miaka ya nyuma kidogo aliuwawa kwenye tukio la ujambazi Morogoro (kama kumbukumbu zangu ziko sawa). Kifo chake kilikuwa na utata maana wengine wanadai polisi walimuua maksudi na kuchukua madini aliokuwa ameenda kuyanunua maana alikuwa anapiga dili za mawe. iliishia juu...
  10. mchoma mkaa

    Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka wa Koboko Urambo

    Wang'waa faza hapo kwenye red mimi mwenyewe nilimshangaa alikuwa anaongea utafikiri ni viumbe vyenye permanent address kuwa ukimfata kesho au keshokutwa utamkuta anakusubiri.
  11. mchoma mkaa

    Kuku Chotara wa kufuga wanapatikana

    Vipi vifaranga vidogo huna?
  12. mchoma mkaa

    Msaada kuku anaumwa

    Mafua ya kuku ni hatari. Kama huna hela kwa sasa chukua kidonge cha tetracycline kipasue changanya kwenye maji umnyweshe haraka. kwa vile ni ugonjwa wa kuambukiza unaweza kuwapa kwenye maji na kuku wengine ili wasishambuliwe mpaka hiyo jumapili utapopata hela ya chanjo.
  13. mchoma mkaa

    Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka wa Koboko Urambo

    Ni busara hasa kama ni shambani kwako na unapita chini ya miti kuvaa kofia ya pama au zile za construction mpaka utakapomaliza kusafisha eneo. Kwa kifupi nyoka anaogopa binadamu na binadamu nae anaogopa nyoka.. Kwa maisha ya kila siku ni ngumu kukutana nae unless kama sio tuliovamia maeneo yao...
Back
Top Bottom