Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,493
Inasikitisha kuwa bado karne hii tunafikiri kwenda kuwinda nyoka wakiwa katika mapori yao ya asili, haki yao ya kuishi iko wapi?, hata hivyo, inaonesha serikali hii huwa haifuatilii kilicho fanyika katika eneo moja ili kiweze kufanyika katika eneo lingine.
Kama nyarandu angekuwa na wasaidizi makini( na kama anawasikiliza ama kuwashirikisha) atakuwa amejulishwa kuwa eneo la mazimbu ilipojengwa kambi ya wakimbizi wa south africana sasa ni campus ya Sokoine university of agriculture kulikuwa na nyoka wengi tena wa aina mbalimbali,
ili kuwaondoa nyoka hao, WAFADHIRI (DANIDA) waliojenga yale majengo (kambi) walipandikiza wadudu jamii ya sisismizi ambao wenyeji huwaita majimoto, wadudfu hawa walifukuza nyoka wote katika eneo lile kwani nyoka yeyote akikatika katikati yao akifanikiwa kutoka basi anabahati ya CCM.
Namshauri waziri nyarandu na brother SIX watumie utaalam na si mabavu ya magobole ya ant poaching squad.
ESCROW uyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Huo utaalamu wa wadudu aina ya maji moto pale SUA wanao. Wanawapandikiza ktk miti ya machungwa, miembe n.k. nyoka hakatizi, wanasepa huku wakitii sheria bila shuruti.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums