Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka wa Koboko Urambo

Inasikitisha kuwa bado karne hii tunafikiri kwenda kuwinda nyoka wakiwa katika mapori yao ya asili, haki yao ya kuishi iko wapi?, hata hivyo, inaonesha serikali hii huwa haifuatilii kilicho fanyika katika eneo moja ili kiweze kufanyika katika eneo lingine.

Kama nyarandu angekuwa na wasaidizi makini( na kama anawasikiliza ama kuwashirikisha) atakuwa amejulishwa kuwa eneo la mazimbu ilipojengwa kambi ya wakimbizi wa south africana sasa ni campus ya Sokoine university of agriculture kulikuwa na nyoka wengi tena wa aina mbalimbali,

ili kuwaondoa nyoka hao, WAFADHIRI (DANIDA) waliojenga yale majengo (kambi) walipandikiza wadudu jamii ya sisismizi ambao wenyeji huwaita majimoto, wadudfu hawa walifukuza nyoka wote katika eneo lile kwani nyoka yeyote akikatika katikati yao akifanikiwa kutoka basi anabahati ya CCM.

Namshauri waziri nyarandu na brother SIX watumie utaalam na si mabavu ya magobole ya ant poaching squad.
ESCROW uyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Huo utaalamu wa wadudu aina ya maji moto pale SUA wanao. Wanawapandikiza ktk miti ya machungwa, miembe n.k. nyoka hakatizi, wanasepa huku wakitii sheria bila shuruti.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mkuu acha fiksi
Koboko hana kichwa cha kuku wala jogoo
Koboko ni Spices fulani ya Cobra ukimuona koboko unaweza fikiri ni Cobra anainua kichwa kama Cobra ila tofauti ya koboko na Cobra ni kuwa Koboko wanapatikana huku nchi za tropic na Kobra anapatikana sana Asia

Yaani ni sawa sawa na Cheetah, Tiger na Leopard

Sema koboko ni aggressive, yuko sharp na faster
Hizo za ana kichwa cha kuku sijui bla bla gani ni uzushi mtupu

Nimeshakutana nao two times mara ya kwanza nilipokuwa na NGO moja hivi waliokuwa attached na animal planet ndio nikawajua vyema

Mara ya pili nilikutana nao kwenye msitu wa pemba mpazi story yake ni scary kidogo tulikuwa na wazungu tunatoka skonge tunaenda mbeya ndani ya gari alikuwa jamaa ambaye ndio mwenyeji wetu (Local) jamaa alikuwa ana dawa zake za kienyeji

Kufika pemba mpazi tukapata pancha na tukawa hatuna spare ikabidi tuagize spare skonge sasa ikabidi tukoke moto pale just imagine kati kati ya huo msitu yule jamaa akachukua dawa akazungushia territoty yetu kwamba hiyo territory sio simba, sio mbung'o wala sio nyoka wa aina yeyote atakayesogea na kweli baada ya muda akapita nyoka ambaye it looks like Cobra ila mweusi yule jamaa akatuambia huyo ndio mwenyewewe the One KOBOKO.. Baadae nitawawekea picha yake sema niko kwenye mishe mishe

So story za kuwika sijui kichwa cha kuku ni uongo
Ila ni kweli anaweza kuingia kwenye darasa la wanafunzi 45 na baada ya dakika 5 wanafunzi wote wakawa maiti

Na si kweli anaweza kukwepa risasi ila kutokana na movement zake za kwenda round and round huku anakuja kwako kwa kasi ni vigumu kupata clear shot so kumuua ni kazi
interesting story i wish ningekuwepo ila katika hiyo movie nipone nitoke bila jeraha
 
labda taarifa kidogo kuhusu aina hii ya nyoka Koboko wakoje kwa picha na sumu yake inaathiri kwa kiwango gani, msaada tutani..:becky:

Ni nyoka mjanja zaidi ya hao waliozipinga za Escrow,huwa mrefu ana rangi ya kijivu hutembea asubuhi sehemu za maji maji kusaka vyura. Akikugonga hesabu dkk tano jina lako linaanza na marehemu............ Kichwa chake kina unene wa dore gumba na macho madogo tu ya kishikaji na mpole ajabu lkn akiwa kwenye mawindo usiombe umvurugie windo lake. Huwezi kumfahamu kama hujapitia kuchunga ng'ombe au kuwinda. Jioni mida kama saa 9 au 10 hupanda kwenye mti na kujizugusha kufanya umbo la chungu na kichwa kukiweka juu tayari kwa yoyote atakaye mgasi. Kisukuma tunamwita g'hobhoko. Ana sumu 12 ukitaka kuamini mtupie majani ya katani mabichi akiwa amekasirika,akiligonga linakauka hapohapo na lile la 13 hubaki vilevile. Kwa kifupi huyu nyoka ni shida. Akiingia ndani huturia tuli hasa akikuta mtoto mchanga hata akilala kitandani hata mdhuru lakini ingia mtu mzima uone atakavyokuanzishia tibwili.
 
Ni nyoka warefu sana, from 10 - 13 ft, wana kichwa kama cha kuku-jogoo, hata wakati wa alfajr huwa wanawika kama jogoo!

Itabidi hao askari wavamie mapori ya kuanzia mbuga za Usisya, ushokola,Mabama, usoke, ichencha, Urambo zote, kaliua, hadi ng'ambo ya malagarasi kule nguruka.

wana sumu kali sana kupita ile ya Cobra (hata hao cobra pia ni wengi sana mkoani Tabora).

Kaka hii kali aisee.. Lakini kwa uzoefu wangu wa nyoka nadhani nyoka anayeongelewa hapa ni black mamba. Black mamba yuko very aggressive akiwa cornered. Lakini option yake ya kwanza akisikia uwepo wa binadamu ni kukimbia kuokoa maisha yake. Yuko very fast indeed na split second anakuwa ameshafanya uharibifu mkubwa na sifa nyingine ya kipekee ni ana uwezo wa kugonga zaidi ya mara moja tofauti na nyoka wengi wakikugonga wanaacha meno na wanakuwa hawana uwezo wa second strike.

Naamini wako kwenye mating season kipindi hiki na wanakuwa aggressive hata kwa wanadamu hasa maeneo wanayotafuta majike. Nasema hivyo kwanini? Wiki nne au tano zilizopita ndani ya shamba langu (pwani) tulikuta black mamba zaidi ya sita wamejiviringisha kwa jike mmoja wakigombea wote kupata haki yao kwenye shimo la kichuguu. Ilikuwa deadly scene na nilikuwa sijawahi kuona kitu kama kile maishani mwangu. Kutokana na hatari iliyokuwepo pale niliagiza iletwe petroli kutoka kempu (huku tunauziwa kwenye chupa za lita moja ya uhai). Tulikaa mbali na mtu mmoja akapanda juu ya mti mrefu akashusha ile petrol bomb ndani ya shimo. Tulifanikiwa kuua wawili tu wengine wote walipotea kwa kasi ya ajabu wengine wakiungua. so kwa mtazamo wangu wako kwenye muda wa kuwa agressive kipindi hichi. Na pia nakumbuka miaka mitatu nyuma kwenye miezi kama hii tulimkuta kasimama katikati ya rough road serengeti na aliruka kutaka kuvamia land cruiser aingie kwa juu kwenye ile canopy. Hatari si kitoto..

Mi nimeintroduce sangara (sungusungu wekundu) last week shambani wenyeji wameniambia sehemu yenye sangara nyoka hawakai. Hivyo na watu wa huko wanaweza kutumia ujuzi wa kienyeji kuliko kubeba askari wasio kuwa na uzoefu wowote wa kudeal na nyoka..
 
Hao nyoka nihatali sana wanasum kali akikuuma humalizi dakika tano lazima ufa naanapo taka kuuma maranyingi hulenga utosini rangi zao ni nyeupe wanamictari kama yanjano shingoni wengine wakijivu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

eboo wanalenga utosini tena, inamaana wanatabia ya kukaa juu sio chini?
 
Ni nyoka mjanja zaidi ya hao waliozipinga za Escrow,huwa mrefu ana rangi ya kijivu hutembea asubuhi sehemu za maji maji kusaka vyura. Akikugonga hesabu dkk tano jina lako linaanza na marehemu............ Kichwa chake kina unene wa dore gumba na macho madogo tu ya kishikaji na mpole ajabu lkn akiwa kwenye mawindo usiombe umvurugie windo lake. Huwezi kumfahamu kama hujapitia kuchunga ng'ombe au kuwinda. Jioni mida kama saa 9 au 10 hupanda kwenye mti na kujizugusha kufanya umbo la chungu na kichwa kukiweka juu tayari kwa yoyote atakaye mgasi. Kisukuma tunamwita g'hobhoko. Ana sumu 12 ukitaka kuamini mtupie majani ya katani mabichi akiwa amekasirika,akiligonga linakauka hapohapo na lile la 13 hubaki vilevile. Kwa kifupi huyu nyoka ni shida. Akiingia ndani huturia tuli hasa akikuta mtoto mchanga hata akilala kitandani hata mdhuru lakini ingia mtu mzima uone atakavyokuanzishia tibwili.

ahsante kwa kunifungua macho, sikua najua yote haya..

kwa kuongezea...mbinu gani zinaweza kusaidia kukabiliana nae.
 
Mkuu acha fiksi
Koboko hana kichwa cha kuku wala jogoo
Koboko ni Spices fulani ya Cobra ukimuona koboko unaweza fikiri ni Cobra anainua kichwa kama Cobra ila tofauti ya koboko na Cobra ni kuwa Koboko wanapatikana huku nchi za tropic na Kobra anapatikana sana Asia

Yaani ni sawa sawa na Cheetah, Tiger na Leopard

Sema koboko ni aggressive, yuko sharp na faster
Hizo za ana kichwa cha kuku sijui bla bla gani ni uzushi mtupu

Nimeshakutana nao two times mara ya kwanza nilipokuwa na NGO moja hivi waliokuwa attached na animal planet ndio nikawajua vyema

Mara ya pili nilikutana nao kwenye msitu wa pemba mpazi story yake ni scary kidogo tulikuwa na wazungu tunatoka skonge tunaenda mbeya ndani ya gari alikuwa jamaa ambaye ndio mwenyeji wetu (Local) jamaa alikuwa ana dawa zake za kienyeji

Kufika pemba mpazi tukapata pancha na tukawa hatuna spare ikabidi tuagize spare skonge sasa ikabidi tukoke moto pale just imagine kati kati ya huo msitu yule jamaa akachukua dawa akazungushia territoty yetu kwamba hiyo territory sio simba, sio mbung'o wala sio nyoka wa aina yeyote atakayesogea na kweli baada ya muda akapita nyoka ambaye it looks like Cobra ila mweusi yule jamaa akatuambia huyo ndio mwenyewewe the One KOBOKO.. Baadae nitawawekea picha yake sema niko kwenye mishe mishe

So story za kuwika sijui kichwa cha kuku ni uongo
Ila ni kweli anaweza kuingia kwenye darasa la wanafunzi 45 na baada ya dakika 5 wanafunzi wote wakawa maiti

Na si kweli anaweza kukwepa risasi ila kutokana na movement zake za kwenda round and round huku anakuja kwako kwa kasi ni vigumu kupata clear shot so kumuua ni kazi

mkuu mimi huangua hata korosho kwa risasi sasa mh nyarangu si anipe hilo dili aone azina za vijana moto kama mimi
 
labda taarifa kidogo kuhusu aina hii ya nyoka Koboko wakoje kwa picha na sumu yake inaathiri kwa kiwango gani, msaada tutani..:becky:

Kikubwa cha kuelewa hawa nyoka ni wakijivu na sio weusi kama watu wengi wanavyodhani japo wanaitwa black mamba. Jina la black mamba limetokana na kuwa na sumu kali kiasi kwamba akifungua kinywa chake ni cheusi tii kama mkaa the name has nothing to do na rangi yake ya mwili.. Sumu yake ni kali sana na inaua seli kwa kiwango cha haraka sana huduma ya kwanza ni kufunga jeraha ili kuzuia mzungo wa damu na kuchanja eneo la jeraha kujaribu kutoa sumu kwa kuweka jiwe la nyoka. Kama ni emergency na uko porini na hauna jiwe unaweza kupachika sarafu ya sh 100 (it works) mpaka ufike kituo cha afya.
 
Mkuu acha fiksi
Koboko hana kichwa cha kuku wala jogoo
Koboko ni Spices fulani ya Cobra ukimuona koboko unaweza fikiri ni Cobra anainua kichwa kama Cobra ila tofauti ya koboko na Cobra ni kuwa Koboko wanapatikana huku nchi za tropic na Kobra anapatikana sana Asia

Yaani ni sawa sawa na Cheetah, Tiger na Leopard

Sema koboko ni aggressive, yuko sharp na faster
Hizo za ana kichwa cha kuku sijui bla bla gani ni uzushi mtupu

Nimeshakutana nao two times mara ya kwanza nilipokuwa
cobra Africa wapo,maeneo hata ya kitropic wapo
 
Hahahhaaa sijui kama sijaelewa vizuri au, kwanini sasa wasiwaajiri hao wana kijiji ambao wanawazidi utaalamu hao wataalamu? au wao ni risasi tu??

Hapo ndio shida miye nilifikiri wanakijiji ndio waatalamu wa hao Koboko. Ooops utaalamu mpaka uwe na cheti kumbe
 
ahsante kwa kunifungua macho, sikua najua yote haya..

kwa kuongezea...mbinu gani zinaweza kusaidia kukabiliana nae.

Ni busara hasa kama ni shambani kwako na unapita chini ya miti kuvaa kofia ya pama au zile za construction mpaka utakapomaliza kusafisha eneo. Kwa kifupi nyoka anaogopa binadamu na binadamu nae anaogopa nyoka.. Kwa maisha ya kila siku ni ngumu kukutana nae unless kama sio tuliovamia maeneo yao ya asili na kununua mashamba.. Nyoka wa kumuogopa zaidi nadhani ni kifutu na ndie hasa anayeongoza kwa kuua watu kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
 
Ni busara hasa kama ni shambani kwako na unapita chini ya miti kuvaa kofia ya pama au zile za construction mpaka utakapomaliza kusafisha eneo. Kwa kifupi nyoka anaogopa binadamu na binadamu nae anaogopa nyoka.. Kwa maisha ya kila siku ni ngumu kukutana nae unless kama sio tuliovamia maeneo yao ya asili na kununua mashamba.. Nyoka wa kumuogopa zaidi nadhani ni kifutu na ndie hasa anayeongoza kwa kuua watu kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

kifutu mtembea upande upande, hatari sana huyo.
 
9k=
 
SERIKALI imetuma kikosi maalum cha askari wa kupamba na ujangili Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora ili kukabiliana na nyoka aina ya Koboko ambao hadi sasa wamesababisha vifo vya watu wanne.

Hayo yalisemwa jana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, wakati akizungumza na waandishi wa habari bungeni mjini hapa.

"Jana (juzi), Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, aliniambia nyoka aina ya koboko walivamia kijiji kimoja Urambo, na wale nyoka ni hatari sana huwezi kumpiga kwa risasi,"alisema


Alisema idadi ya nyoka katika eneo la Urambo imekuwa hatarishi kwa hiyo, ametuma kikosi maalum dhidi ya ujangili cha Tabora.

"Nimeagiza waende wakakae na hao wanakijiji waangalie jinsi ya kuwaua, tatizo huwezi kuwapiga hao nyoka kwa bunduki, hata ukiwa na bunduki atakurukia na kukuua, uwezo wake wa kukimbia ni mkubwa,"

"Kwa hiyo wananchi wanaoutaalam mkubwa kushinda wale wahifadhi kwa hiyo nimeagiza wakae na wananchi watafute njia za kuwamaliza,"alisema

Aliwataka wakazi wa Urambo kutoandamana kwenda katika ofisi za mbunge wao Sitta kwa kuwa serikali imeshachukua hatua za kuwauwa nyoka hao.

Chanzo:Tanzania daima

9k=
 
Back
Top Bottom