Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
wakuu wenye taarifa kuwa hiyo ripoti anaanza saa ngapi kusomwa? maana naona kinachoendelea ni maswali na majibu tu.
Saa tano ndugu!
wakuu wenye taarifa kuwa hiyo ripoti anaanza saa ngapi kusomwa? maana naona kinachoendelea ni maswali na majibu tu.
tbc 87.5 fm
TBC iko poa mkuu hapa naona na mpakato wangu full charge na salio
Mnaotazama TBC mjiandae kisaikolojia pia. Mjadala ukifika kwenye chorus watakata matangazo wakisingizia hali mbaya ya hewa, au kukatika kwa umeme kule Kijitonyama! Shauri yenu.
Wewe mpuuzi tv yenyewe ya mkopo
Wadau Mimi natumia Dstv na tangia asubuhi TBC 1 haina Saudi
Sasa sielewi ni hujuma nisisikie Escrow au la?
television ya taifa imekuwa na mafua sana.. wakati mwingine hata watangazaji wanashindwa kuwasiliana vema na watu Wa Picha za matukio.. sijui ndiyo Yale mambo ya kitu chochote cha serikali kisiposimamiwa kinakuwa ovyo ovyo tu.. shirika la utangazaji mnatukera sana.. TBC inapitwa hata na TV1!Wadau Mimi natumia Dstv na tangia asubuhi TBC 1 haina Saudi
Sasa sielewi ni hujuma nisisikie Escrow au la?
startimes....no signal
Acha unafki wewe! mbona sie tunatumia STARTIMES tunapata matangazo ya TBC vizuri!!!
Wadau Mimi natumia Dstv na tangia asubuhi TBC 1 haina Saudi
Sasa sielewi ni hujuma nisisikie Escrow au la?
Wadau Mimi natumia Dstv na tangia asubuhi TBC 1 haina Saudi
Sasa sielewi ni hujuma nisisikie Escrow au la?