Nyoka wa kumuogopa zaidi nadhani ni kifutu na ndie hasa anayeongoza kwa kuua watu kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
kifutu mtembea upande upande, hatari sana huyo.
Nimeipenda sana hii thread. Kwa sisi ambao hatujaishi vijijini tunajifunza kitu.
Kifutu anaitwaje kwa Kizungu? Nataka nimsome naye habari zake. Nimemsoma huyu Black Mamba aisee ni Nyoka hatari sana na inadaiwa kwamba ndiye the world's most dangerous snake.
Eeh jamani eeeh. Mbona tunatishana mchana???
Kama kuna mwenye pic na video atupie kama mbwai mbwai tuu.
eboo wanalenga utosini tena, inamaana wanatabia ya kukaa juu sio chini?
ahsante kwa kunifungua macho, sikua najua yote haya..
kwa kuongezea...mbinu gani zinaweza kusaidia kukabiliana nae.
Mkuu acha fiksi
Koboko hana kichwa cha kuku wala jogoo
Koboko ni Spices fulani ya Cobra ukimuona koboko unaweza fikiri ni Cobra anainua kichwa kama Cobra ila tofauti ya koboko na Cobra ni kuwa Koboko wanapatikana huku nchi za tropic na Kobra anapatikana sana Asia
Yaani ni sawa sawa na Cheetah, Tiger na Leopard
Sema koboko ni aggressive, yuko sharp na faster
Hizo za ana kichwa cha kuku sijui bla bla gani ni uzushi mtupu
Nimeshakutana nao two times mara ya kwanza nilipokuwa na NGO moja hivi waliokuwa attached na animal planet ndio nikawajua vyema
Mara ya pili nilikutana nao kwenye msitu wa pemba mpazi story yake ni scary kidogo tulikuwa na wazungu tunatoka skonge tunaenda mbeya ndani ya gari alikuwa jamaa ambaye ndio mwenyeji wetu (Local) jamaa alikuwa ana dawa zake za kienyeji
Kufika pemba mpazi tukapata pancha na tukawa hatuna spare ikabidi tuagize spare skonge sasa ikabidi tukoke moto pale just imagine kati kati ya huo msitu yule jamaa akachukua dawa akazungushia territoty yetu kwamba hiyo territory sio simba, sio mbung'o wala sio nyoka wa aina yeyote atakayesogea na kweli baada ya muda akapita nyoka ambaye it looks like Cobra ila mweusi yule jamaa akatuambia huyo ndio mwenyewewe the One KOBOKO.. Baadae nitawawekea picha yake sema niko kwenye mishe mishe
So story za kuwika sijui kichwa cha kuku ni uongo
Ila ni kweli anaweza kuingia kwenye darasa la wanafunzi 45 na baada ya dakika 5 wanafunzi wote wakawa maiti
Na si kweli anaweza kukwepa risasi ila kutokana na movement zake za kwenda round and round huku anakuja kwako kwa kasi ni vigumu kupata clear shot so kumuua ni kazi
KOBOKO !! sijapata kuona hata picha yake haipatikani GOOGLE !!
Kaka Morphine hao wanaenda kula posho na matunda pori tu hasa yanayoitwa nhondwa maana ndo msimu wake huu. Huyo nyoka ni mtalaamu wa kusoma mazigira hakuna mfano. Usiku hutoa kichwa shimoni na kuanza kupiga kelele kama msuguano wa msumeno wa kukatia mbao usiotumia umeme. Nyoka hao huhama wenyewe kila pori linapokuwa linafyekwa (uharibifu wa mzigira unapofanywa hasa ukataji miti). Hakuna watakachofanikiwa labda wapige mabomu kama yale ya Syria au kuteketeza miti yote hasa aina ya "migobeko" ambayo ndio beach zake koboko. Mie nilicheka sana baada ya kumuona Nyalandu akiwahadaa wana Urambo. Njia nyingine ya kienyeji na dawa zingine za kienyeji ni kumuuita Koboko kwa style ya mluzi ukiwa umetengeneza banda la miti ya kijani,wakati tukiwinda ndege kwa style ya mluzi koboko alikuwa anatuibukia mara kwa mara lakini ujasiri wa kupambana nae ulikuwa unatoweka na kila mtu kutelekeza ndege na koboko anajilia na kusepa zake. Ni kama hadithi lkn amini usiamini. Kwanza dawa kama hizo waliokuwa nazo washaaga dunia na mara nyingi zilikuwa zinapatikana kwa Wagoyangi (malenga wa ngoma za kucheza na nyoka)
Mkuu acha fiksi
Koboko hana kichwa cha kuku wala jogoo
Koboko ni Spices fulani ya Cobra ukimuona koboko unaweza fikiri ni Cobra anainua kichwa kama Cobra ila tofauti ya koboko na Cobra ni kuwa Koboko wanapatikana huku nchi za tropic na Kobra anapatikana sana Asia
Yaani ni sawa sawa na Cheetah, Tiger na Leopard
Sema koboko ni aggressive, yuko sharp na faster
Hizo za ana kichwa cha kuku sijui bla bla gani ni uzushi mtupu
Nimeshakutana nao two times mara ya kwanza nilipokuwa na NGO moja hivi waliokuwa attached na animal planet ndio nikawajua vyema
Mara ya pili nilikutana nao kwenye msitu wa pemba mpazi story yake ni scary kidogo tulikuwa na wazungu tunatoka skonge tunaenda mbeya ndani ya gari alikuwa jamaa ambaye ndio mwenyeji wetu (Local) jamaa alikuwa ana dawa zake za kienyeji
Kufika pemba mpazi tukapata pancha na tukawa hatuna spare ikabidi tuagize spare skonge sasa ikabidi tukoke moto pale just imagine kati kati ya huo msitu yule jamaa akachukua dawa akazungushia territoty yetu kwamba hiyo territory sio simba, sio mbung'o wala sio nyoka wa aina yeyote atakayesogea na kweli baada ya muda akapita nyoka ambaye it looks like Cobra ila mweusi yule jamaa akatuambia huyo ndio mwenyewewe the One KOBOKO.. Baadae nitawawekea picha yake sema niko kwenye mishe mishe
So story za kuwika sijui kichwa cha kuku ni uongo
Ila ni kweli anaweza kuingia kwenye darasa la wanafunzi 45 na baada ya dakika 5 wanafunzi wote wakawa maiti
Na si kweli anaweza kukwepa risasi ila kutokana na movement zake za kwenda round and round huku anakuja kwako kwa kasi ni vigumu kupata clear shot so kumuua ni kazi
Koboko huwezi kumkimbia na ukigundua amekuona ni heri usimame wima kuliko kukimbia japo kusimama maisha yako yatakuwa 50/50 maana uhai wako utakuwa mikononi mwa koboko. Njia ya kujiepusha nae ni aheri ukalala chini nakuhakikishi kamwe koboko hakugongi ukiwa umelala.
Huyu nyoka anatisha sn yataka ujasiri sn kukabiliana nae coz ukimkorofi ugomvi wake huwa hauishi na anaweza akafunga barabara yaani no body in no body out!!
Anasumu kali sn akikugonga lazima tuimbe palapanda!
Wang'waa faza hapo kwenye red mimi mwenyewe nilimshangaa alikuwa anaongea utafikiri ni viumbe vyenye permanent address kuwa ukimfata kesho au keshokutwa utamkuta anakusubiri.
Despite ukali wake wote huyu nyoka ana Aibu.Na watoto wachanga huwa anawapotezea.