"Kwa hiyo watandike makoti yao mpite?Wana mengi ya kushughulikia,polepole watafikia hizo barabara"
Ww unaongea pumba gan ww ----- ww?
Umbal mtu unalip naui buku kwend kurud buku ikichelewa kurud andaa 7000 tsh mpk 10000 tsh ya boda boda.. Wajawazito zikikaribia sik za kujifungua wanaham mbal na...
Mnyika hata asipopiga kampen jimbon kwake hakuna wa kumng'oa kazi yake imetukuka bungeni. Uwepo wake umekuwa ni tushio kwa spika na wanaccm bungeni, amekuwa akitetea vyema masilah ya watz. Ubungo kama hawakutak njoo Ukonga, maana Mwaiposa hana chake huku.
Mama mwaiposa hafai. Umbali wa km 7 mombasa bomba mbili nauli 1000 ukiiliza barabar mbovu.. Yaan kipato chote chaishia nauli tu. Yeye kahama jimbon hayupo.... Hata iweje atafute jimbo liingine huku hatumtaki..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.