Jamani anacho kifanya huyu Harmo ni uvunjifu wa sheria kwani tandahimba yupo mbunge sasa na yeye kila siku anajinadi kwamba yeye ni mbunge.huku ni kuvunjwa kwa sheria na taratibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nianze kwa kuwasalimia wakubwa na wadogo kwa salamu ya Mambo vipiiii?
Kwa muda mrefu nimekua najiuliza bendera yetu iliyopo kwenye kilele cha mlima Kilimanjoro (kilimanjaro peak) ni nani hupandisha kila saa kumi na mbili za asubuhi na ni nani huishusha saa kumi na mbili jioni.
Kwa heshima na taadhima nawaomba wakuu wangu wa serikali ya awamu ya 5 mfikirie kumpatia kijana wetu Mbwana Ally Samatta mtaa katika jiji la Dodoma, kutokana na mchango wake mkubwa katika soka letu la Tanzania.
Samatta ni balozi wetu pekee kwenye mashindano ya UEFA, michuano mikubwa barani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.