mchanga mchanga
Senior Member
- Jun 13, 2017
- 115
- 82
Maadui wakuu watatu wakati tunapata uhuru ni umasikini, ujinga na maradhi. Naomba wadau mnijuze ni yupi kati ya maadui wetu hawapo tena leo.
maadui wa taifa ni Tundu Lisu, Chadema Na rushwaMaadui wakuu watatu wakati tunapata uhuru ni umasikini, ujinga na maradhi. Naomba wadau mnijuze ni yupi kati ya maadui wetu hawapo tena leo.
Tundu Lisu!
Tundu Lisu!
Sasa hivi maadui wakubwa ni CHADEMA, Mbowe, Lissu na Maalim Seif
maadui wa taifa ni Tundu Lisu, Chadema Na rushwa
chadema
Umasikini, ujinga na maradhi hayatokomezwi kwani ndio mtaji wa wanasiasa.Maadui wakuu watatu wakati tunapata uhuru ni umasikini, ujinga na maradhi. Naomba wadau mnijuze ni yupi kati ya maadui wetu hawapo tena leo.
Kaongezeka mwingine, CHADEMA.Maadui wakuu watatu wakati tunapata uhuru ni umasikini, ujinga na maradhi. Naomba wadau mnijuze ni yupi kati ya maadui wetu hawapo tena leo.
Nimekutukana Tusi Kubwa sana kuliko watu wote waliowahi kutukana.Tundu Lisu!
Therefore ;Tunasikitisha sana
Therefore ;Tunasikitisha sana