mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
hii nayo ni hivyo hivyo mzee kama hauko sawa lazima ikutetemeshe.Bado ya mavi ya mbuzi inakuja.Sie huku Shamba unapanda juu ya mti unaangua unampa wife anaandaa ukinywa kidogo lazima utafute choo kilipo.
