Mfanyabiashara Patrick Moshi, amwomba Rais Magufuli msaada

Mfanyabiashara Patrick Moshi, amwomba Rais Magufuli msaada

Aahaa hawa ndo watanzania...mie nasemaga siku zote kw hali hii matajiri watabaki.wakuhesabu...yaan tuna wivu wa ajabu mnoo..mkuu hebu ikatae hyo roho!

Watanzania = wivu, unafiki, roho mbaya, roho ya kimaskini, wengi kukosa exposure ya mambo mengi duniani, kutotaka kujifunza mambo mapya kwa waliofanikiwa, majungu hizi ndio sifa za watanzania.
 
Mina nakupendea hiki tu..huwa hupepesi..aibu sana dume zima kupiga mbinja utajiri wa mwanaume mwenzake..mm ht hawa wenye gari zao wakitumwagiaga maji road maskini naona sawa tu..utajiri unatafutwabkwa ngv kubwa sana na kujibana sana .anakuja ndezi pori anaandika ujinga!
kwani wewe huna gari mpenzi?
 
Back
Top Bottom