Aahaa hawa ndo watanzania...mie nasemaga siku zote kw hali hii matajiri watabaki.wakuhesabu...yaan tuna wivu wa ajabu mnoo..mkuu hebu ikatae hyo roho!
Watanzania = wivu, unafiki, roho mbaya, roho ya kimaskini, wengi kukosa exposure ya mambo mengi duniani, kutotaka kujifunza mambo mapya kwa waliofanikiwa, majungu hizi ndio sifa za watanzania.