Recent content by mchaka chaka

  1. mchaka chaka

    Kuna umuhimu wowote kuwa na vipaza sauti misikitini?

    hoja zingine za kumjaribu mungu tuache
  2. mchaka chaka

    Nyie wanaume mna maneno mazuri kweli

    Du! Hii lazima alegee kivyovyote
  3. mchaka chaka

    Kamanda Sirro: Ninapigiwa simu usiku wa manane na wanawake

    aisee kweli huyu ni kamanda wa kanda maalum kweli anaongea upuuzi kama huu!
  4. mchaka chaka

    Salam za Mstahiki Meya Boniface Jacob kwa Mh Aikael Mbowe

    binafsi sina chama naililia nchi yangu
  5. mchaka chaka

    Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

    wadada skuiz akilala njaa hana subira mtaa mzima watajua
  6. mchaka chaka

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    namkubali sana huyu Mzee ni mpaka wakome
  7. mchaka chaka

    Hatimaye fedha kurudi mitaani

    mhadhiri kawa waziri wa fedha,mlimani hio!
  8. mchaka chaka

    Ma-house girls wawa miiba kwa ndoa Dar

    nikweli,mke anachengua ,ukicheki dem yuko poa sa utafanyaje acha akae na ulimbukeni wake kama vp asepe
  9. mchaka chaka

    Hili la shule ya CCM kutaifishwa ni kipimo cha akili zetu za kutafakari mambo

    ataifishe na majengo ya ccm nchi nzima ni ya wananchi
  10. mchaka chaka

    Mtangazaji wa Clouds tv 360 awataka Wasomi wadaiwa HESLB wakauze Ice Cream walipe deni

    kama unaakili,jiulize serikali haitoi ajira , mikopo hamna , kilimo hakilipi, bora aiskrim ili serikal waone wapi wamekosea,yuko sahihi
  11. mchaka chaka

    Wanaopanda kutuhubiria na kutuombea katika Mabasi sisi na wao nani wana dhambi zaidi?

    ajira zimesitishwa acha watu wapige injili mpaka chato
  12. mchaka chaka

    Dkt. Ayub Rioba kwishaaa, leo hajai hata kwenye kiganja

    kaacha panga ,mkuki upinde,shoka nk ni mweupe
  13. mchaka chaka

    Rais Dkt. Magufuli ahudhuria ibada ya Christmas mjini Singida, atoa Siri ya Ushindi wake wa 2015

    msimlaum! ni msahaulifu anaweza kuja na mara hii tunguli imenipa ushindi
Back
Top Bottom