Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
- Thread starter
- #21
Duh !Nasikia baba ubaya anasema hii ni trella tu, picha lenyewe bado
Duh !Nasikia baba ubaya anasema hii ni trella tu, picha lenyewe bado
Hongera .Bora ungesema unaenda hata kutoa zawadi kwa watoto yatima.
Uamuzi wako ishi uwezavyo, vya pesa za dezo za serikali kuishi maisha ya juu huku haujiongezi yamewakamata haswa.
Wengine tupo tunamshukuru Mola kwa yote.
Yani unatumaini sanduku la kura litakupa unqchokihitaji??? Kwa mawazo hayo utasubiri sanaNaogopa kukomenti. Najua nitakachofanya kwenye chumba cha kupigia kura 2020 nikiwa hai
Kama Sanduku la kura lilinipa mbunge huyu niliyenaye, naamini hata Rais nitampata nitakayempigia kura. Unajua kupiga kura ni pamoja na kuhakikisha idadi ya kura ni sahihi na hakuna uchakachuzi wowote. Kama Balozi Kagasheki aling'oka, yule Mhindi wa Mtwara aling'oka, Dr. Masaburi alichemsha, Dr. Fenela Mukangala alichemsha, aisee sitafanya fujo hivi sasa isipokuwa naisubiri 2020 InshallahYani unatumaini sanduku la kura litakupa unqchokihitaji??? Kwa mawazo hayo utasubiri sana
Naogopa kukomenti. Najua nitakachofanya kwenye chumba cha kupigia kura 2020 nikiwa hai
Maneno mazito sana .Kama Sanduku la kura lilinipa mbunge huyu niliyenaye, naamini hata Rais nitampata nitakayempigia kura. Unajua kupiga kura ni pamoja na kuhakikisha idadi ya kura ni sahihi na hakuna uchakachuzi wowote. Kama Balozi Kagasheki aling'oka, yule Mhindi wa Mtwara aling'oka, Dr. Masaburi alichemsha, Dr. Fenela Mukangala alichemsha, aisee sitafanya fujo hivi sasa isipokuwa naisubiri 2020 Inshallah
Tupe plan BYani unatumaini sanduku la kura litakupa unqchokihitaji??? Kwa mawazo hayo utasubiri sana
Sawa utapiga, bahati mbaya hutatangaza matokeo wewe.Naogopa kukomenti. Najua nitakachofanya kwenye chumba cha kupigia kura 2020 nikiwa hai
Alikua ana bipu wakampigiaUna uhakika gani kwamba kaletwa na "Mungu" na sio na "Lubuva"?
Vijana wanawaza pombe kwenye nchi ya viwanda , kazi ipo .Wewe dada huwa ni kanafiki sana nimeanza kukufuatilia coment zako hapa jamvini muda mrefu sana kipindi kile ulijuwa unasema fulani hafai kuwa rais wa nchi hii cha ajabu umekuwa mtu wa kusifia wewe usiposherekea ni juu yako wenzio ni mitungi mpaka majogoo kesho kazi kama kawa
Umemsikia Kabila ?pigeni kelele humu kwenye mitandao lakini ikifika 2020 tunawachinja tena......