Nina experience ya kuishi maeneo hayo hadi Dakawa na Mkindo kwa kina Amos Makalla huko ni hakufai upepo kidogo tu umeme umeenda alafu unakaa dakika 5 unarudi tena kukatika mara 10 ni kawaida ndugu😂😂
Mtu yupo kigamboni au Mbagala alafu mtoto wa miaka minne anampeleka shule Upanga haiingii akilini kabisa yaani kuungisha majirani zako wenye day care unaona wanafaidi utasema kwa umri huo kuna vitu vya msingi sana mtoto anavyofundishwa huko shuleni
Huyu Idris alifanya kosa la kwanza la utani kwa Mh Rais akahenyeshwa Central halafu hata miezi 6 haijapita anamtania tena Mh Rais
Huyu alifanya kosa huku akijua ni kosa, unaanzaje kumuonea huruma muache apambanie kombe mwenyewe
Ukisema anafosi kipaji unaonekana humpendi yaani kakosa content...
Ushuhuda mzuri sana lakini kila mtu anaomba kwa Mungu labda ungejaribu kueleza maombi yako unayafanya kwa namna gani ili wale waombao lakini hawafanikiwi wajue wanakosea wapi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.