Ni mnyama gani huyu?

Ni mnyama gani huyu?

Honey bedger anakimbia kama hataki
Anakula chochote anachokutana nacho
Anakula nyoka wote
Nyuki wakimuona wanamkimbia
Anachukua asali Kama kaitengeneza yeye
Akikutana na Kobe anakula mpaka Gamba lake
Ni mnyama anayeongoza kwa kutokua muoga porini
Hawezi kuuawa na mnyama yoyote
Huyo ndio Honey bedger mwenyewe a.k.a nyegere.

Sent using Jamii Forums mobile app
ngoja nimsome mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Honey Badger nilikua namchukulia poa kumbe nuksi hivj
 
Kwenye hiyo makala walimuonyesha akiwa anakula gamba la kombe?
Hapana sikuona Mkuu ila sifa walizotaja pia meno yake yana uwezo wa kuvunja gamba la kobe, hiyo Makala ilikuwa ikimzungumzia honey badger na kiumbe mwingine anaitwa Tasmanian devil.
 
Hapana sikuona Mkuu ila sifa walizotaja pia meno yake yana uwezo wa kuvunja gamba la kobe, hiyo Makala ilikuwa ikimzungumzia honey badger na kiumbe mwingine anaitwa Tasmanian devil.

Ni kweli mkuu nyegere ana sifa za kutisha sana lakini hawezi kula gamba la kobe japokua anamla kobe.

Pitia hii link ya YouTube uone jinsi anavyomla kobe

Bila shaka uliinjoi sana kuangalia hiyo makala ya honey badger na Tasmanian devil maana hawa ni mtu na mjomba wake tifu lao linafanana
 
Ni kweli mkuu nyegere ana sifa za kutisha sana lakini hawezi kula gamba la kobe japokua anamla kobe.

Pitia hii link ya YouTube uone jinsi anavyomla kobe

Bila shaka uliinjoi sana kuangalia hiyo makala ya honey badger na Tasmanian devil maana hawa ni mtu na mjomba wake tifu lao linafanana

Hatari sana mdau ngoja niipitie
 
Ni kweli mkuu nyegere ana sifa za kutisha sana lakini hawezi kula gamba la kobe japokua anamla kobe.

Pitia hii link ya YouTube uone jinsi anavyomla kobe

Bila shaka uliinjoi sana kuangalia hiyo makala ya honey badger na Tasmanian devil maana hawa ni mtu na mjomba wake tifu lao linafanana
Tasmanian devil anatisha na anaweza kula mlo mmoja sawa na 40% ya uzito wake.
 
Hii ni aina mojawapo ya kicheche na hupendelea kutembea usiku na huwezi kutana naye mchana na macho yake hung'aa wakati wa usiku kama tochi.Huyu ni tofauti na vicheche wale wenye umbo dogo ambao hata wakati wa mchana unaweza kuwaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom