Zilliacus anapendekeza kila shabiki atoe USD 3, na wote tukifanya hivyo mashabiki tutamiliki klabu kwa 50%
Hakafafanua baada ya kununua klabu nani atabeba jukumu la kulipa deni la klabu, kutoa fedha za usajili na kuendeleza miundombinu ikiwemo kiwanja cha OT
Ni kweli Sir Jimy alitaka kuinunua Chelsea, ila ni shabiki wa United ... mengine ni siasa za kuchafuana katika vita ya kutafuta umiliki wa United
Ukweli ni kwamba Quatar anakubalika zaidi na mashabiki kwa sasa, sababu wengi wanaamini Sir Jimy ni Glazers mwingereza (hana hela ya kutosha &...
Sir Jimmy ni shabiki wa United, na mwenye pesa zake ... zaidi ya Glazers, ila kwa mahitaji ya United pesa yake ni ndogo
Pia huyu Sir Ratcliffe anamiliki timu ya Nice ya Ufaransa, na hajaifanyia makubwa kiviiiile
Quatar wana pesa na wapo tayari kumwaga pesa. Hawa matajiri wana ukwasi kuliko...
Tangu Arsenane mtumie nguvu nyingi mlipocheza na United ... You have never recovered
Kilichofuata, mkakung'utwa na City, kisha Everton na mkaambulia droo kwa Brentford
Next stop, City, Aston Villa
Nimekaa paleeeee
Mkataba wake uliopo sasa ni mpaka 2025. Na klabu ina option ya kuongeza mwaka mmoja
Tukijifanya ni wazee wa maadili tunapoteza £100 milioni kirahisi sana
By the way, mfumo wa sheria umeamua wasiendelee na kesi, sisi ni nani tupinge [emoji1]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.