Recent content by mbwakachoka

  1. mbwakachoka

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    kwanini tusibakie single as a country yaani hakuna raisi wala mawaziri kila mtu aishi maisha yake then 2015 tufikierie kama tuendelee kuwa single au tutafute rais
  2. mbwakachoka

    Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

    bed time stories
  3. mbwakachoka

    Zoom Tanzania WTF!!!!!!!!!! Is this right

    nadhani hii ilitakiwa kuwekwa kwenye section ya employers waone hizo CV/cover letters na sio watafuta kazi
  4. mbwakachoka

    Zoom Tanzania WTF!!!!!!!!!! Is this right

    ...nimetumbukia kwa mtandao wa ZOOM Tanzania kwenye job tanzania nikakutana na haya, sina uhakika kama ni sawa yalipowekwa au yalitakikwa kuweka kwenye database yao ************************************************************************* Browse the jobs in Tanzania below, or use the filter...
  5. mbwakachoka

    JK aenda Uingereza kikazi

    haambiliki ameshasepa dah kweli haambiliki hasikii mtukutu huyu jamaa Ungreza anaenda kufanza nini tena walahi
  6. mbwakachoka

    Samwel Sitta asisitiza: Dkt. Mwakyembe kalishwa sumu, asema kuna polisi majambazi

    SWALI Zuri sana hili hao mafisadi kina nani? haina maana kuficha majina tuendelee kujadili the so called mafisadi wakati hatuwajui do they actually exist#im just asking
  7. mbwakachoka

    45 things a girl want, but won't ask for...

    mbona list fupi sana mi ninayo kama 125 hivi ya kufanya...sio kumaliza yote siku moja weka kwa mafungu hata kama alivoweka mwandishi kila siku fungu moja easy
  8. mbwakachoka

    Rostam Aziz aachia ngazi CCM

    hivi hawa jamaa kweli kama waliiba pesa kwanini hawakufunguliwa mashtaka kufungwa na hadi kufilisiwa kujiuzulu ili ale chenji ilobakia sio....this is what i call 100% BULLSHIT... zaidi naweza sema gud move for Rostam serikali haikuwezi....SIMPLE
  9. mbwakachoka

    Taarifa kuhusu hali ya maisha na Utulivu wa Tanzania

    Ukweli mtupu...empty truth
  10. mbwakachoka

    Mgao wa umeme wa kufa mtu watangazwa, Juni 2011 na kuendelea

    Demonstration against powercuts scheduled on monday 27/06/2011, 8am from Tanesco HQ (mikocheni near shoppers plaza) to President's office. Take part if you are concerned. Spread the word.
  11. mbwakachoka

    Comparing: Lowassa vs Pinda

    sio siri simfagilii kabisa Lowassa lakini naona kama mtazamo wangu wabadilika kweli Lowassa aliogopeka mzigo alipiga fresh na hela aliiba sasa sijui tuangalie lipi...kumpa chance tena mmmm sijui mie ila huyu pinda angepiga mzigo nusu ya Lowassa basi tungekua mbali
  12. mbwakachoka

    Ni halali ndg Edward Lowassa kuitwa 'Waziri Mkuu mstaafu'?

    Kustaafu ni hadi ufike miaka 60-65 sijui ni ipi moja wapo....au kwa ajili ya matatizo ya afya, kujiuzulu ni ku QUIT kushindwa kuendelea kwa sababu alikua na kashfa
Back
Top Bottom