Mie sioni kosa lolote mtu kuandamana endapo hakuna furugu lakini kwa hii nchi ni tatizo hivi vijana wenzangu mnadhani maendeleo yanakuja by miracles ..inabidi watu tuwe waelewa wale jamaa wapo bungeni wanakula tu laki 3 kila siku na hamna katiba yoyote itakayo patikana kwanini hizo hela...
Kidumu CCM ....oyeee...na bado mtatakata tu....mpaka woga wenu uishe na rangi yenu iwe nyeupe kama mm ndio mtapata mabadiliko bora sisi tuliozamia UK raha tupu...na kesho nairudisha passport lenu
Samahani sana pengine sipo sehemu husika naomba kujuzwa sehemu ya kuchagua mechi husika inakaa nikiingia namba inaniambia nimekosea naombeni mnisaidie wale wa wataalam wa kubeba box.
Inaniambia chaguo sio sahihi .jaribu tena .(ni section ya pili baada ya kuchagua handicap).
Ahsanteni sana .na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.