Nashindwa kubet kwa m-bet ya Vodacom

Nashindwa kubet kwa m-bet ya Vodacom

MBUNTE 84

Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
26
Reaction score
2
Samahani sana pengine sipo sehemu husika naomba kujuzwa sehemu ya kuchagua mechi husika inakaa nikiingia namba inaniambia nimekosea naombeni mnisaidie wale wa wataalam wa kubeba box.

Inaniambia chaguo sio sahihi .jaribu tena .(ni section ya pili baada ya kuchagua handicap).

Ahsanteni sana .na samahani sana labda nimeleta mada sehemu sio.
 
Anza kwa *149*19#.ok! Bonyeza 1.kawaida inakuletea mech za siku hiyo.halafu chagua mech kwa kubonyeza namba ya mech husika! Kucheza tena bonyeza 1 chagua nyingine then maliza 1! Kama ujaelewa 0758903566
 
Back
Top Bottom