Mhi! Ila kweli tusimdhihaki, me ningua nayo ningekusaidia ila ndo hivyo sina, kwani najua maumivu uliyonayo me ilishanitokea mtoto akiumwa na ilikuwa yahitajika Milion moja laki mbili, nilihangaika kila mahali sikupata msaada na ndugu walinitenga mpaka nikaweka rehani shamba langu ila namshukuru...