Umerudi na imani zako za kiupatu upatu,zinasobiri uzushi kuhusu wengine ndio wajione kuwa wapo sahihi kwa muda mfupi tuu. HIyo post unajua nilipost ktk hoja gani?Hembu rudi ukasome vyema.Nipo makini kuliko unavyodhani.NIliiweka kuongeza changamoto kwa kanjanja aliyekuwa akibisha kwa hoja za akina ponda waliosambaa duniani.Ambao wapo desperate kutafuta material hata yenye harusu kidogo tuu ya kujinasibu ili watoke na kurukaruka kuwa dini yao ni ya kweli.Hiyo post ya Google ni gospel kwako?
Unajua nani kaindika
Wajua Waislamu ndio waliowatimua Holy Roman Empire toka Babylon Palestina na Jerusalem
Jiongezee kidogo
hawa jamaa hawajui kuwa visual and audio zina effects kubwa sana ktk kujifunza. Hawajui kwamba ukristu usingeeleweka bila video. Dunia ina tamaduni tofauti za kufanya yafanywayo ktk historia ya Biblia haswa maisha ya wayahudi. It was through video ,ndio nilielewa maandishi ,nikapata majibu Yesu alitokaje ktk kaburi, na nini maana ya kaburi jipya. Sikuweza pata majibu sana kwa wazee ambao hawakua wameona video na hivyo hawakuweza pata picture makaburi ya wayahudi yalikuwa vipi na yalionekana vipi, na kwanini yalikuwa maelezo ya upya na utumikaji. Nilivyoona kuwa makaburi yalikuwa yanachimbwa km chumba ktk miamba, na yalitumika kwa watu wengi,kuwekwa huko, hadi wanaoza ndipo niliweza jua kuwa Yesu hakufukua udongo,na kusukuma jiwe lilikuwepo juu yake. hayo makaburi kuna kipindi ilifikia wanacaanzisha jipya. Kwa hiyo Yesu alikuta jipya.Sasa cha kushangaza ni kipi,, Brian decon ame play role kubwa sana katika kueneza dini na kufanya dini ijulkane karibia kila kona ya Dunia
Unaona ehee nipo ofcn apa watu wamevaa picha zake wengine wanazo majumbani mwao. Inatia kinyaa kabisa.Uyu bwege kachezea sana akil za waafrika
Swali muhimu sana iloAlilipwa dollar ngapi jamaa?? Duuh!!!
Ulitapika nikurudishie gharama za matapishi?Unaona ehee nipo ofcn apa watu wamevaa picha zake wengine wanazo majumbani mwao. Inatia kinyaa kabisa.
Bado hainiingiagi akilini niliwezaje kudanganyika namna hii na kuamini kitu kisicho cha kweli, hadi kesho nikimwaza Yesu ananijia katika sura ya huyu jamaa, wazungu wametuharibu sana akili pumbavu zao.
Dawa yao waoneshe hzo pcha za scene na hyo aliyovaa jeansUnaona ehee nipo ofcn apa watu wamevaa picha zake wengine wanazo majumbani mwao. Inatia kinyaa kabisa.
Daa hii nayo ni taabu tupuDawa yao waoneshe hzo pcha za scene na hyo aliyovaa jeans
Hilo ni tatizo lenu si lakeUyu bwege kachezea sana akil za waafrika
Kwa namna moja au nyngne na yeye kahusika kwa kias chake,Hilo ni tatizo lenu si lake