Jaribu kutumia akili japo kidogo,mambo ya kuendeza tumbo at times itakulazimu kujidhalilisha ili mkono uende kinywani.Tusichanganye kusema ukweli na kile kinachoitwa kukosoa, huku lugha inayotumika ni ya kejeli, kebehi, na matusi. Ukweli kusemwa au kukosoa serikali ni kwa kutumia majukwaa ya kikatiba na siyo kwa kutoa matamko na nyaraka.
Majukwaa hayo ni vikao vya Serikali za vijiji, Mitaa, Hamashauri, Bunge na Mahakama. Lakini pamoja na majukwaa hayo, wastarabu, kupitia vyama vyao vya kiataaluma au kijamii, wana nafasi ya kujadiliana na Serikali yanayogusa mambo yao, km mikutano ya Rais na wawekezaji, wafanya biashara na hata waandishi wa habari.
Kuhararisha mikutano ya hadhara ili viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kupanda majukwaani kupandikiza sumu ya chuki baina yetu, siyo demokrasia katu.
Na huyu mleta Uzi ni kibaraka wa nani?Usione haya kusema,maana umesema Meena ni kibaraka wa Mbowe.Meena anajulikana kuwa ni kibaraka wa Mbowe muda mrefu tu
Mimi au wewe! Huoni kama umeandika kama ya chekechea!Jaribu kutumia akili japo kidogo,mambo ya kuendeza tumbo at times itakulazimu kujidhalilisha ili mkono uende kinywani.
Wa kumwogopa ni MUNGU tu. Hao viongozi ni binadamu kama wewe. Wengine wana mapungufu makubwa kuliko weweOf course hapa ni vita ya nuru dhidi ya giza. Wema dhidi ya uovu. Upande wa uovu pia unawatetezi. Hawa hawaogopi hata viongozi wa dini
Mimi nilipoanza kusoma ile sentensi kuwa Kitila Mkumbo kwa unyenyekevu alimuandikia askofu wake Shoo......, nikaona hii takataka kabisa.Nimeshindwa kumalizia hili andiko kadri nnnavyosoma ndo nazidi kuuona upumbavu wa huyu anayejiita mwandishi wa habari.