Mkuu kuna mapori yametengwa kwa local hunting yaani kwa watanzania kila wilaya zaidi tumeanza Kuwinda toka Ma Babu zetu na Wanyama hawaishi na Kuwinda sio kujiamulia tu unawinda kutokana na Kibali halali unapewa na wilaya husika sasa ukisema Wanyama wataisha ni kwa sisi watanzania tu? Kwa wageni...
Tunamuomba Mheshimiwa Raisi wetu J.P.M wananchi wa Tanzania tupewe haki yetu ya kuwinda wanyamapori kwa kufuata sheria na kanuni za uwindaji na sio kubaguliwa nchini mwetu na wizara husika kwa kuifanya burdani hii ni ya wageni tu tunamuomba Mheshimiwa Raisi wetu afuatilie wizara hii
Mheshimiwa Raisi Mimi Kama mtanzania naomba niweke hili suala hapa ili tulijadili kwani kila Mwananchi Ana haki ya kufaidi Matunda ya nchi yake Miaka yote mtanzania yeyote alikua anaruhusiwa kupata Kibali cha uwindaji ukifika msimu wa uwindaji yaani kuanzia mwezi wa Saba mpaka mwisho wa mwezi...
Habari zenu ndugu zangu Leo nimekamatwa na askari WA Usalama barabarini hapa arusha kosa ni crake kwenye kioo Cha mbele wakanipiga fine ya sh elfu 30 nikalipa wakaniandikia notification nikadai risiti kwani Gari ni ya kampuni ili nirudishiwe Pesa zango hapo ndipo balaa ikaanza wakaniambia risiti...
Wana jamii hali zenu naomba kwa yeyote anae jua shirika au kampuni ya kumdhamini mkulimu katika Mkoa WA arusha Mimi Nina Shamba natafuta wadhamini WA kunipatia mbegu kufadhili kilimo changu Cha mahindi na maharage naomba mwenye kuyajua mnisaidia
Nyalandu alipiga marufuku kwa Miaka miwili uwindaji WA raia yaani mTanzania yeyote ni marufuku kuwinda kwa miaka miwili kakini Wageni Kama mwiba safari na makampuni ya kigeni ruksa kuwinda mnajua sababu? Ni kwamba wawe huru kufanya lolote kwa sisi watanzania tukiendelea kuwinda itakua ngumu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.