Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,264
Mathayo 2:13-14
Na hapo walipokwisha kwenda zao,tazama,malaika wa bwana alimtokea Yusufu,katika ndoto akasema,Ondoka umchukue mtoto na mama yake,ukimbilie misri ukae huko hata nikuambie
Yusufu na mkewe hawakuambiwa wakimbilie Misri kwa sababu ya Military protection
Kama mkimbizi anavyokimbia nchi yake na kwenda nchi nyingine kwasababu ya usalama.Hapana!
Wakati ule hata Misri ilikuwa chini ya Roman empire
Herode bado alikuwa na uwezo wa kuwatafuta na kuwapata kwasababu bado walikuwa chini ya utawala wake
Lengo kuu la kukimbilia Misri,lilikuwa ni kujichanganya na Black wenzao
Kwahiyo ilikuwa ni vigumu kwa Majeshi ya kirumi kuwatambua
Kama wangelikuwa whites wangelitambulika kwa urahisi
Kwasababu Misri ilikuwa ni ya Blacks wakati ule
References
THE PHYSICAL APPEARANCE OF ANCIENT ISRAEL,THE HEBREW&SONS OF HAM
Mkuu nakukubal sana