Kwa pamoja tuungane kupinga matusi dhidi ya rais wa nchi...matusi ya nguoni dhidi ya rais wetu ni matusi kwa watanzania wote.tujenge hoja tueche matusi yule ni mtu mzima tusimtukane hasa kule kwa yule dada mwenye laana.
Kuendelea kuichafua familia ya mstaafu Rais wa awamu ya Nne ni chuki na fitna dhidi yao,wangapi mna ushahidi kama mmoja kati ya family member anahusika na haya mnayoyasema,huyu ni mmoja kati ya wabunge wabunifu sana jimboni kwake acheni kurudisha nyuma jitihada zake za kuleta mafanikio jimboni...
Hongera sana Mbunge wa jimbo la Chalinze.mh Ridhiwan Kikwete,kwa kujali wananchi wako kwa kutekeleza ahadi kwa vitendo.hakika kumbe ukimya wako umeulekeza kwenye kupiga kazi kwa vitendo hongera sana,hakika tanzania nzima ingepata watu wa kariba hiyo ingepaa maradufu.hongera sana kwa kazi nzuri
Ni vema mkaacha uzushi juu ya watoto wa viongozi.baba kuwa kiongozi haimuondolei haki mtoto kuwa na uwezo wa kifedha.asubuhi saa hizi tafuteni pesa acheni kuwa wazushi na wafitini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.